Kuna mtu nampenda humu

Kuna mtu nampenda humu

Kwa hyo unapenda mwandiko wake au avatar yake yani umenichanganya ujue inakuwaje unampenda my huijui sura yake wala sauti yake nisaidie hapo ili nipate kujua
 
kweli nyoka mzee kukataliwa kitu gani unaamka maisha yanaendelea
Haya maisha ya baba jesca hayaitaji kuishi kinyonge ....Ni mwendo wa kujilipuwa tu liwalo na liwe maana mtu una F ya maisha uje tena kwenye mapenzi nako F hivi unafkiri lini utakuja kuibalance combi ya maisha ,[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom