Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,726
- 3,778
Jilipue. Mtumie namba na picha yako Pm.Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
ili litakalo kuwa na liwe