Jilipue. Mtumie namba na picha yako Pm.Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
Fungua ID nyingine kisha mtokee....akikuanika poa tu unarudi jukwaani na ID yako bi husna mubaHabari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
Mtoto unang"aa!!Njoo uninong'oneze nikusaidie kukwambia
na mm namjua teh tehHehehe
Waache wawowaneee!! Mie ka namhishi vilee, halafu mwenyewe keshajua anapendwa basi anaringaa
Nang'aaje tena[emoji15]Mtoto unang"aa!!
Namaanisha we mzuriNang'aaje tena[emoji15]
Ha haa hiyo ni avatar tu mwaya...Namaanisha we mzuri
Ni sheeedamzee wa calambora umezimikiwa huku [emoji23][emoji23] sakayo unaona tuliyoyasema
Hebu ninong'oneze niwe na uhakika, si unajua mawazo ya wawili ni mawazo ya Bwana [emoji23] [emoji23] [emoji23]na mm namjua teh teh
hahahah usikute washamalizana pm [emoji23] kumzimia mtu ata hujui anafananaje mzee wa calambora ataona namuhalibiaNi sheeeda
Halafu anajifanya ka haoni huu uzi
yule bwana mwenye thread nyingi chit chat [emoji23]Hebu ninong'oneze niwe na uhakika, si unajua mawazo ya wawili ni mawazo ya Bwana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Njoo tuu nipo nakungojaHabari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
Duuuuyule bwana mwenye thread nyingi chit chat [emoji23]
Kazimika na avatarhahahah usikute washamalizana pm [emoji23] kumzimia mtu ata hujui anafananaje mzee wa calambora ataona namuhalibia
ni hivyo hivyo ulivyowaza haujakosea dear [emoji23]Duuuu
Na mie niliwaza hivyo hivyo
hahahahh et unataman ata akuqoute akutukane siku ya kuonana mnakimbiana [emoji23]Kazimika na avatar
Ujue kuna wanaume wana avatar nzuri mpaka unatamani akuqoute hata akutusi tuu
Unaonaje ukawa mshengaani hivyo hivyo ulivyowaza haujakosea dear [emoji23]
Unakimbia kidogo sasa, hizo mbio zitakuwa sio za nchi hiihahahahh et unataman ata akuqoute akutukane siku ya kuonana mnakimbiana [emoji23]