Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

kuwa na mimi ni bahati japo kumpata espy ilikua kama ndoto nzuri au njozi ya kumuumba umtakaye hata nikipewa nafasi ya pili ya kumchagua mke nitamchagua espy

i love you
Awwww!!!!
Yaani hisia nilizonazo juu yako hata hazielezeki, nimeshindwa hata kuelezea nimeishia kutabasamu tu.
Yo ma happiness sweetheart.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
espy
1)naona hutaki kunitambulisha kwa rafiki zako
2) kama umenitambulisha rafiki zako hawanitaki
3) kutonitaka wao haimaanishi na wewe hunitaki
4) kutonitaka wewe haimaanishi sikutaki
5) ningekua sikutaki ningekwambia
6) ni bora uachane na hao marafiki zako kuliko kutengana na mimi
Mume wangu kipenzi marafiki na ndugu wote wanatambua wewe ndio kipenzi changu, hao wanaojifanya hawakutambui wana lao jambo, kwahiyo hila zao hazitofanikiwa.

Hivi nisikutake wewe nimtake nani tena!! Yo my everthing ma love i need no more.
 
Yaani jana tu nimemkuta anammendea binti aliyejitangaza anapenda pweza halafu akapotea mazimaa, leo kuna mwingine anataka akamdhibitishe halafu amepotea kabisaa. Hivi mie nitakuwa na moyo wa chuma au??? Babu moyo wangu ni wa nyama, mengine nipunguzie mie
Yani unaaanzaje kupata stress kwa kizee?Bora kijana ndio akupe stress,kizee ni kumlia pension yake tu sasa wewe unamkabidhi moyo hajui ni wengi mpo mnataka hiyo hiyo pension yake?
 
Back
Top Bottom