Awwww!!!!
Tunaomba mod huu uzi title yake iwehahahhh
Alivyo mchoyo utadhani tunaichukua[emoji57] [emoji57] [emoji57]si atabaki nayo mwenyewe tuione tu
TehAwwww!!!!
Yaani hisia nilizonazo juu yako hata hazielezeki, nimeshindwa hata kuelezea nimeishia kutabasamu tu.
Yo ma happiness sweetheart.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Babu nimeona ujumbe wako, asante kwa upendo wako
Ha ha haaa ngoja ajeYaani jana tu nimemkuta anammendea binti aliyejitangaza anapenda pweza halafu akapotea mazimaa, leo kuna mwingine anataka akamdhibitishe halafu amepotea kabisaa. Hivi mie nitakuwa na moyo wa chuma au??? Babu moyo wangu ni wa nyama, mengine nipunguzie mie
Zitume kwangu mie tamfikishia Honey Faith bila tatizo lolote.hajatuma namba
Habari za leo[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Ameeeeen sweet darling[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji173] [emoji173] [emoji173] [emoji173]atashindana lakini hatoshinda
Unavyopenda hela mdogo wangu ni shidaaaaaZitume kwangu mie tamfikishia Honey Faith bila tatizo lolote.
Kile kizee ni nouma hali aliokua nayo jana leo ndo kaja kihivyo et[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Kaka huu ni uchochezi ujue!!aisee..mboan sikuji au wewe ni mchepuko? na dada yangu huwa hafichagi mambo
Yani haya maneno asione ShunieTunaomba mod huu uzi title yake iwe
Shunie
espy
husna muba
Manga ML
Daby
Sakayo
MO11
Asprin
Saint Ivuga
Honey Faith special thread maana sio kwa kuujaza hukuuu.
haya fanya mambo in bobo... naona faith staki nataka nyiiiingiZitume kwangu mie tamfikishia Honey Faith bila tatizo lolote.
Mume wangu kipenzi marafiki na ndugu wote wanatambua wewe ndio kipenzi changu, hao wanaojifanya hawakutambui wana lao jambo, kwahiyo hila zao hazitofanikiwa.espy
1)naona hutaki kunitambulisha kwa rafiki zako
2) kama umenitambulisha rafiki zako hawanitaki
3) kutonitaka wao haimaanishi na wewe hunitaki
4) kutonitaka wewe haimaanishi sikutaki
5) ningekua sikutaki ningekwambia
6) ni bora uachane na hao marafiki zako kuliko kutengana na mimi
Yani unaaanzaje kupata stress kwa kizee?Bora kijana ndio akupe stress,kizee ni kumlia pension yake tu sasa wewe unamkabidhi moyo hajui ni wengi mpo mnataka hiyo hiyo pension yake?Yaani jana tu nimemkuta anammendea binti aliyejitangaza anapenda pweza halafu akapotea mazimaa, leo kuna mwingine anataka akamdhibitishe halafu amepotea kabisaa. Hivi mie nitakuwa na moyo wa chuma au??? Babu moyo wangu ni wa nyama, mengine nipunguzie mie