Kuna mtu nimemzimikia

hahahhh
 
My lovely kaka unamuongelea nani?
 
mzigo wako huo
ngoja nimuangalie na hili janga lake jipya.. nimemuambia yule jamaa mpya yupo kwenye list ya kigwa naona wakanitolea sana mapovu nikanyamaza... ila najua wakishapiga gemu moja tu akishaambiwa bebi nishike huku atakimbia hatarudi tena..

hapo kimbilio lake ni mimi binamu yake,,,.. mimi ndio namjulia mtoto yule binamu nyama ya ham
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…