Kuna mtu nimemzimikia

Dah! naisubiria hii PM wala siion kulikon?!!
 
We usiogope kunambia maana hata miye nlishakupendaga siku nyingi tu japo naogopa mama asijue.
 
Usimwambie utajidhalilisha mtoto wa watu kutongoza wanaume,,,wanaume tukitongozwa hatuachi na kukupiga mizinga,,,halaf kwa vile atakua labda hakupendi anakuomba 0655 ukimpa anakugegeda then anakutupa km kipis cha sigara baadae anakuja huku jf anaanza kupaka wanawake wa jf hwana lolotee... So kwa heshima ya wadada wenzako na heshima ya jf usimwambie... Uchune mpka ajishtukie mwenyewe... Sisi wanaume tunawatesa sana wanaotupenda na tunajitesa kwa wasiotupenda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…