Ni muendelezo wake mpaka wote hofu ikawatoka na mpaka sasa wako mapangoni nahisi walipo jificha hapatafaa kwa matumizi tenakumchocheaje na wkt mtoa mada amempenda na sisi tumemtajia anayemsema n Daby sisi uchochezi wetu uko ap
Mii nardhika mapema tu wala usihofuAiseeee
Namii ntavaa[emoji23][emoji23][emoji23]
kuridhikaa na nnMii nardhika mapema tu wala usihofu
Siamini kama hujui utamutamu ndio nn
sijui ndio mana nimeulizaSiamini kama hujui utam
Una dalili za kunisaliti wewe, si bureMwache tu jamani
Shost hujamuona babu yakosijui ndio mana nimeuliza
Funguka coz Hakuna Mwanaume mwenye jeuri yakutongozwa akakataa...
Hapana, tutakuwa wajukuu wa kike na wa kiume babuuUna dalili za kunisaliti wewe, si bure
Nimesikitika sana, nimefadhaika sana, nimeumia sana...Hapana, tutakuwa wajukuu wa kike na wa kiume babuu
nimemuona sana nimevaa miwani ya mbao [emoji124]Shost hujamuona babu yako
Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika (kwahiyo umeona ujianike mwenyewe)
Huku
Nifanye ñn?
Kwahiyo umeona ujianike mwenyewe
Kama unamuona anajielewa mwambie, kama hajielewi kupotezee.Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
Pole babuNimesikitika sana, nimefadhaika sana, nimeumia sana...