Kuna mtu nimemzimikia

Hii pia ni njia ya kumtoa nyoka pangoni, mtu anajina la kike kumbe lidume la haja na ni Sirikal, unajifanya umemzimikia ili ajichanganye pm mpitenae mkamSaanane.
 
Jana eti anazingua, nina mke na watoto!! Wenye mke Wanasemaga sasa?? Husna sio wa nchi hii, hata kuwa mchepuko kwake sawa, sio kwa suti ile na mwandiko mwanana ka uso baby face Husna kafa kaozaaaa
Hahahhahah husna kiboko
 
Jana eti anazingua, nina mke na watoto!! Wenye mke Wanasemaga sasa?? Husna sio wa nchi hii, hata kuwa mchepuko kwake sawa, sio kwa suti ile na mwandiko mwanana ka uso baby face Husna kafa kaozaaaa
Kama alipenda utani ishakua kweli mpaka sasa kimyaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…