Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Sasa babu anakuwaje shemela au kapata bibi mwingineDada unamkana Babu yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa babu anakuwaje shemela au kapata bibi mwingineDada unamkana Babu yetu
HeheheHahhahahh ww mpnz wa jeans au
Basi ni Babu yetuSasa babu anakuwaje shemela au kapata bibi mwingine
Kwenye mapenzi hakuna utani wewe, wako honeymoonKama alipenda utani ishakua kweli mpaka sasa kimyaaaaaa
Asa mii nimekutetea kwa mwenzio unanishangaa ndo nikaulizaaaagghhhrr we nae una maswali
Hapo sawa, babu hajatulia kabisaaBasi ni Babu yetu
[emoji40] [emoji40] [emoji40] sharobaroHehehe
Ongea taratibu basi
hahahhah inabidi apepeweHapo sawa, babu hajatulia kabisaa
Hapana, husna sina mzuka naye aendelee na bebi wake Daby.hahahhah et fakalava ni kweli lkn husna yeye anamtaka Daby tu
usijisike vibaya kumweleza mtu the way u feel about him/her ,just open upHabari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
Kwa hiyo vimeiva huko bamba to bamba ani hakuna baya huko ni mdhuli tuKwenye mapenzi hakuna utani wewe, wako honeymoon
hahahhah kumbe mpk uwe na mizuka nao mzee wa makamoHapana, husna sina mzuka naye aendelee na bebi wake Daby.
Hapana kabisaa, nani anataka kumaliziwa poda[emoji40] [emoji40] [emoji40] sharobaro
Kwani nikisema mzuka unaelewa nini mrembo?hahahhah kumbe mpk uwe na mizuka nao mzee wa makamo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana kabisaa, nani anataka kumaliziwa poda
Ndo lugha gani hiyo tenaKwa hiyo vimeiva huko bamba to bamba ani hakuna baya huko ni mdhuli tu
Mmh mzuka naoelewa mm mtu ambae una hisia nae ambae unamtaman sijui lkn labda nipo tofautKwani nikisema mzuka unaelewa nini mrembo?
Na uzee wangu huu nataka wajukuu wenye mashamsham.hahahhah kumbe mpk uwe na mizuka nao mzee wa makamo
Utafia kifuani hawa watoto watundu sanaNa uzee wangu huu nataka wajukuu wenye mashamsham.