Kuna mtu nimemzimikia

Mkuu siyo mimi kweli maana moyo wangu uko ti ti ti ti unakimbia huku nikisubiri notification ya PM.
 
Wenzio mate yanatutoka ujue! Kama ni mimi karibu wala sikutaji,Njoo tuyajenga Baby...
 
Asante mkuu ushauri wako nimeupenda nitaufanyia kazi
 
Jamani polee mwaya lkn kupenda siyo dhambi we mwambie akikukataa basi hunabudi kukubaliana na ukweli na hata skikutangaza mi sioni tatizo coz siyo kitu cha ajabu ,,,,,
 
Jamani polee mwaya lkn kupenda siyo dhambi we mwambie akikukataa basi hunabudi kukubaliana na ukweli na hata skikutangaza mi sioni tatizo coz siyo kitu cha ajabu ,,,,,
 
Jibabatize naye huko huko pm huwezi jua labda naye anakuzimikia. Kila la heri ukiweza lete mrejesho. 😉

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…