Kuna mtu nimemzimikia

hahahahh fakalava hivi tu hujui nafananaje shauri yako we ushaunda mtu anaefanana na shunie ukija kumuona tofauti sijui utakimbia [emoji23] uje kunianzishia thread
Wasiwasi wako tu Shunie, mbona wewe ni mrembo tu! unadhani sikufahamu na hiyo sauti yako ya kimahaba.
 
njoo pm sitakuanika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…