Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia


siri yangu mm na baby wangu [emoji23]

Mpokee Manga bhana...mwenzako atakufa eti...

kakubali kuwa mshika pembe
Nimejaribu kukaa kimya kama bashite lakini nimeona ni ujinga, kwanini nikae kimya na vyeti ninavyo?
Niseme kitu kimoja, mtu yoyote anayejiingiza sehemu yoyote yenye maslahi nami huyo ni adui wangu.

Manga ML, jiandae kupata kibano.
Neno ni moja tu hayo mengine usiyashangae mimi nakupenda wewe tu
 

Attachments

  • 3527F47400000578-0-image-a-15__1.jpg
    3527F47400000578-0-image-a-15__1.jpg
    53.7 KB · Views: 19
Back
Top Bottom