Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

Yaani jana tu nimemkuta anammendea binti aliyejitangaza anapenda pweza halafu akapotea mazimaa, leo kuna mwingine anataka akamdhibitishe halafu amepotea kabisaa. Hivi mie nitakuwa na moyo wa chuma au??? Babu moyo wangu ni wa nyama, mengine nipunguzie mie
Kidogo pacha unaanza kujitambua hawa wanaume n kuwaangalia tu
 
Awwww!!!!
Yaani hisia nilizonazo juu yako hata hazielezeki, nimeshindwa hata kuelezea nimeishia kutabasamu tu.
Yo ma happiness sweetheart.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
[emoji15] [emoji15] [emoji40] [emoji40] [emoji126] [emoji126]
 
Back
Top Bottom