Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

ngoja nimuangalie na hili janga lake jipya.. nimemuambia yule jamaa mpya yupo kwenye list ya kigwa naona wakanitolea sana mapovu nikanyamaza... ila najua wakishapiga gemu moja tu akishaambiwa bebi nishike huku atakimbia hatarudi tena..

hapo kimbilio lake ni mimi binamu yake,,,.. mimi ndio namjulia mtoto yule binamu nyama ya ham
Khaaaa amshike wapi [emoji15] [emoji134]
 
Back
Top Bottom