Kuna mtu yeyote ameshatumia Payoneer Master Card?

Kuna mtu yeyote ameshatumia Payoneer Master Card?

Mi sijapata pia
Binafsi nilipo apply niliipata Card yangu kabla hata ya wiki 3, sijui mnakosea wapi, labda address.
ila unaweza kutuma maombi tena, au ukawasiliana nao Na watakwambia Card yako ilitumwa lini.
 
Habari wakuu! Mimi Ni mmoja Kati ya watu wanaouza kazi zangu Ulaya, Australia Na America online, naumizwa Sana Na kutotambulika kwa PayPal hapa Tanzania, inapelekea Mara nyingi kutumia Western Union ambayo Ina makato makubwa kupelekea Clients kulalamika, sasa pita yangu mitandaoni nikakutana Na Payoneer, nika apply Na Jana nimepata Card yangu ya Payoneer toka America, ambapo itaniwezesha Kutoa pesa kwenye ATM yoyote inayo accept Master Card Worldwide bila hata kuwa Na Account ya Bank, naomba kujua Kama Kuna mtu hapa ashawahi tumia Payoneer? Ili anipe uzoefu wake!

mkuu nina shida na wewe kuhusiana na ishu za payoneer, kama hutojali dm me your namba tafadhali
 
Njia ambazo Clients huchagua kulipa Mara nyingi PayPal ama Payoneer, coz zinawapa usalama wa Pesa zao Na Ni rahisi pesa zao kurudi Kama Kuna udanganyifu sehemu.
Kama kweli unafanya biashara online Na Client akakubari kukulipa kwa World remit hongera kwako!

Kuhusu mzunguko Ni kawaida hasa inapohusisha maswala ya kipesa tena online!
dm me your namba tafadhali, nina shida ya payoneer
 
NAOMBA MSAADA COZ WANAKATAA KUTUMIA P.O.BOX WANAKA RESIDENT ADDRESS NAOMBA MZAADA JINSI YA KUJAZA IYO RESIDENT ADDRESS HAPA BONGO NIWEZE KUPATA KADI? MSAADA ALIYEPATA ALIJAZAJE?
Jaza neno hili SLP badala ya po box.
 
sasa wew unayeulizia DM/PM wenzako watafaidikaje na iyo elimu uliza swali open na wenzako wajifunze
 
Habari wakuu! Mimi Ni mmoja Kati ya watu wanaouza kazi zangu Ulaya, Australia Na America online, naumizwa Sana Na kutotambulika kwa PayPal hapa Tanzania, inapelekea Mara nyingi kutumia Western Union ambayo Ina makato makubwa kupelekea Clients kulalamika, sasa pita yangu mitandaoni nikakutana Na Payoneer, nika apply Na Jana nimepata Card yangu ya Payoneer toka America, ambapo itaniwezesha Kutoa pesa kwenye ATM yoyote inayo accept Master Card Worldwide bila hata kuwa Na Account ya Bank, naomba kujua Kama Kuna mtu hapa ashawahi tumia Payoneer? Ili anipe uzoefu wake!

Mkuu unaposema Paypal haitambuliki TZ una maanisha nini hasa....nauliza hili kwani mie nina account paypal na inafanya kazi vizuri tu
 
Mkuu unaposema Paypal haitambuliki TZ una maanisha nini hasa....nauliza hili kwani mie nina account paypal na inafanya kazi vizuri tu
Miaka ya nyuma ilikua haifanyi kazi TZ.
Imeanza karibuni...
 
Nilikua najisajili kwenye Payoneer ni kweli wanataka namba ya bank nikajaza ya CRDB nipo sawa?
 
Back
Top Bottom