Niliona Majuzi furaha na nderemo kwenye uzinduzi wa kituo cha IVF Muhimbili, unaweza kuta wamehamia huko.
Bibi yako ungempeleka Wizara ya afya asajiriwe kwenye wale watoa tiba asili. Kisha mumsaidie kuweka hizo tiba kwenye maandishi au video/audio. Na naamini kama anaweza kusaidia, atakuwa anaweza hata kijitangaza na awasaidie watakaoweza kumfikia.
Bibi yako ungempeleka Wizara ya afya asajiriwe kwenye wale watoa tiba asili. Kisha mumsaidie kuweka hizo tiba kwenye maandishi au video/audio. Na naamini kama anaweza kusaidia, atakuwa anaweza hata kijitangaza na awasaidie watakaoweza kumfikia.