Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ikitaka kuthibitisha hilo la Malisa ..endelea kusoma huu uzi ..ndio utajua kwann alisema vileTanzania ubinafsi umejaa kwa mujibu wa malisa hatujitambui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitaka kuthibitisha hilo la Malisa ..endelea kusoma huu uzi ..ndio utajua kwann alisema vileTanzania ubinafsi umejaa kwa mujibu wa malisa hatujitambui
Umeongea point mkuu, Hadith hii inanikumbusha mkasa wa yule dogo alieponea chupuchupu kunyongwa China. Mze wake aliitia nchi hasara kwa kuingia mikataba ya kijinga na China kumuokoa mwanae ambaye leo hii japo hana akili eti kawa Waziri wa hasara..Yaani leo wengi wenu Shingo zimewashupaa Kumlaumu Rais wa Uganda Museveni kumteua Mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu mpya wa Majeshi ya Uganda.
Mbona hamshangai Watawala wenu ( Marais na Waliostaafu ) pamoja na Mawaziri wenu mbalimbali ambao nao wamehakikisha Watoto Wao wameshika Nyadhifa za maana Serikalini huku Wengine wakimiliki Mirija yote mikubwa ya Uchumi nchini Tanzania?
Kwahiyo Waswahili Watanzania labda mniambie GENTAMYCINE mlikuwa mnataka Rais Museveni amteue nani mnayemjua ndiyo awe CDF wake / wa Uganda?
Nyie ni nani wa Kumpangia Rais Museveni na Waganda mambo yao? Yenu ya Ujinga, Maradhi, Umasikini na Upumbavu yanayowakabili tokea Uhuru wenu mmeshamalizana nayo?
Tena nimekuwa Mtu wa Kwanza huko Twitani ( sasa X ) kutoka Tanzania kumpongeza Muhoozi Kainerugaba kwa UTEUZI huo na pia Kumpongeza Baba yake Rais Museveni kwa kuona Uwezo mkubwa wa Kijeshi wa Kitaaluma na Kiutendaji alionao Mwanae huyo.
Mnajifanya kutwa Kumtishia Rais wa Rwanda Kagame kuwa mtampiga sasa Nawaonya kwa Uganda tena ya Bingwa wa Vita vya aina zote, Jasusi Mkomavu na Mwerevu Rais Museveni ( na sasa Mwanae Fundi wa Vita vya Ardhini na Intelligence ( Muhoozi Kainerugaba kama CDF wake msije rogwa mkawachokozwa kwani huenda Chamwino, Magogoni na Kizimkazi vyote vikawa ni Mali rasmi ya Uganda ambayo GENTAMYCINE naiogopa mno Kimedani kwasababu zangu Binafsi ambazo kwa leo naomba Nizihifadhi
Naona mchakato wa wewe kwenda kufanya kazi Uganda umekaribia hivyo unaanza uchawa kwa MusevenYaani leo wengi wenu Shingo zimewashupaa Kumlaumu Rais wa Uganda Museveni kumteua Mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu mpya wa Majeshi ya Uganda.
Mbona hamshangai Watawala wenu ( Marais na Waliostaafu ) pamoja na Mawaziri wenu mbalimbali ambao nao wamehakikisha Watoto Wao wameshika Nyadhifa za maana Serikalini huku Wengine wakimiliki Mirija yote mikubwa ya Uchumi nchini Tanzania?
Kwahiyo Waswahili Watanzania labda mniambie GENTAMYCINE mlikuwa mnataka Rais Museveni amteue nani mnayemjua ndiyo awe CDF wake / wa Uganda?
Nyie ni nani wa Kumpangia Rais Museveni na Waganda mambo yao? Yenu ya Ujinga, Maradhi, Umasikini na Upumbavu yanayowakabili tokea Uhuru wenu mmeshamalizana nayo?
Tena nimekuwa Mtu wa Kwanza huko Twitani ( sasa X ) kutoka Tanzania kumpongeza Muhoozi Kainerugaba kwa UTEUZI huo na pia Kumpongeza Baba yake Rais Museveni kwa kuona Uwezo mkubwa wa Kijeshi wa Kitaaluma na Kiutendaji alionao Mwanae huyo.
Mnajifanya kutwa Kumtishia Rais wa Rwanda Kagame kuwa mtampiga sasa Nawaonya kwa Uganda tena ya Bingwa wa Vita vya aina zote, Jasusi Mkomavu na Mwerevu Rais Museveni ( na sasa Mwanae Fundi wa Vita vya Ardhini na Intelligence ( Muhoozi Kainerugaba kama CDF wake msije rogwa mkawachokozwa kwani huenda Chamwino, Magogoni na Kizimkazi vyote vikawa ni Mali rasmi ya Uganda ambayo GENTAMYCINE naiogopa mno Kimedani kwasababu zangu Binafsi ambazo kwa leo naomba Nizihifadhi
Bora kua chawa wa mganda kuliko kua chawa wa mwarabuNaona mchakato wa wewe kwenda kufanya kazi Uganda umekaribia hivyo unaanza uchawa kwa Museven
RubbishYaani leo wengi wenu Shingo zimewashupaa Kumlaumu Rais wa Uganda Museveni kumteua Mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu mpya wa Majeshi ya Uganda.
Mbona hamshangai Watawala wenu ( Marais na Waliostaafu ) pamoja na Mawaziri wenu mbalimbali ambao nao wamehakikisha Watoto Wao wameshika Nyadhifa za maana Serikalini huku Wengine wakimiliki Mirija yote mikubwa ya Uchumi nchini Tanzania?
Kwahiyo Waswahili Watanzania labda mniambie GENTAMYCINE mlikuwa mnataka Rais Museveni amteue nani mnayemjua ndiyo awe CDF wake / wa Uganda?
Nyie ni nani wa Kumpangia Rais Museveni na Waganda mambo yao? Yenu ya Ujinga, Maradhi, Umasikini na Upumbavu yanayowakabili tokea Uhuru wenu mmeshamalizana nayo?
Tena nimekuwa Mtu wa Kwanza huko Twitani ( sasa X ) kutoka Tanzania kumpongeza Muhoozi Kainerugaba kwa UTEUZI huo na pia Kumpongeza Baba yake Rais Museveni kwa kuona Uwezo mkubwa wa Kijeshi wa Kitaaluma na Kiutendaji alionao Mwanae huyo.
Mnajifanya kutwa Kumtishia Rais wa Rwanda Kagame kuwa mtampiga sasa Nawaonya kwa Uganda tena ya Bingwa wa Vita vya aina zote, Jasusi Mkomavu na Mwerevu Rais Museveni ( na sasa Mwanae Fundi wa Vita vya Ardhini na Intelligence ( Muhoozi Kainerugaba kama CDF wake msije rogwa mkawachokozwa kwani huenda Chamwino, Magogoni na Kizimkazi vyote vikawa ni Mali rasmi ya Uganda ambayo GENTAMYCINE naiogopa mno Kimedani kwasababu zangu Binafsi ambazo kwa leo naomba Nizihifadhi
Umemaliza kila Kitu Mkuu. Heko sana.Bora kua chawa wa mganda kuliko kua chawa wa mwarabu
Kuna ujasusi ndani ya Habari hiiYaani leo wengi wenu Shingo zimewashupaa Kumlaumu Rais wa Uganda Museveni kumteua Mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa Mkuu mpya wa Majeshi ya Uganda.
Mbona hamshangai Watawala wenu ( Marais na Waliostaafu ) pamoja na Mawaziri wenu mbalimbali ambao nao wamehakikisha Watoto Wao wameshika Nyadhifa za maana Serikalini huku Wengine wakimiliki Mirija yote mikubwa ya Uchumi nchini Tanzania?
Kwahiyo Waswahili Watanzania labda mniambie GENTAMYCINE mlikuwa mnataka Rais Museveni amteue nani mnayemjua ndiyo awe CDF wake / wa Uganda?
Nyie ni nani wa Kumpangia Rais Museveni na Waganda mambo yao? Yenu ya Ujinga, Maradhi, Umasikini na Upumbavu yanayowakabili tokea Uhuru wenu mmeshamalizana nayo?
Tena nimekuwa Mtu wa Kwanza huko Twitani ( sasa X ) kutoka Tanzania kumpongeza Muhoozi Kainerugaba kwa UTEUZI huo na pia Kumpongeza Baba yake Rais Museveni kwa kuona Uwezo mkubwa wa Kijeshi wa Kitaaluma na Kiutendaji alionao Mwanae huyo.
Mnajifanya kutwa Kumtishia Rais wa Rwanda Kagame kuwa mtampiga sasa Nawaonya kwa Uganda tena ya Bingwa wa Vita vya aina zote, Jasusi Mkomavu na Mwerevu Rais Museveni ( na sasa Mwanae Fundi wa Vita vya Ardhini na Intelligence ( Muhoozi Kainerugaba kama CDF wake msije rogwa mkawachokozwa kwani huenda Chamwino, Magogoni na Kizimkazi vyote vikawa ni Mali rasmi ya Uganda ambayo GENTAMYCINE naiogopa mno Kimedani kwasababu zangu Binafsi ambazo kwa leo naomba Nizihifadhi