Kuna muda huwa siwaelewi na nabaki tu kuwashangaa Waswahili Watanzania

Umeongea point mkuu, Hadith hii inanikumbusha mkasa wa yule dogo alieponea chupuchupu kunyongwa China. Mze wake aliitia nchi hasara kwa kuingia mikataba ya kijinga na China kumuokoa mwanae ambaye leo hii japo hana akili eti kawa Waziri wa hasara..
 
Naona mchakato wa wewe kwenda kufanya kazi Uganda umekaribia hivyo unaanza uchawa kwa Museven
 
Rubbish
 
Lugha ya kike hiyo shingo zimewashupaa!mwanaume abisaaa?kuna shida sehem.
 
Kuna ujasusi ndani ya Habari hii

Kuna wajuvi wa conspiracy theories wanadai mkakati wa bahima empire unaenda kutimia

Museveni atatolewa hapo atakaa Kijana wake kule congo wataweka mtu wao na Burundi pia
Huku nako Wana watu wao kwenye serekari

Muda ukifika bahima wanaichukua east Africa yote
Tusubiri tuone utabiri ukitimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…