Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Aliyewahi pitia hii kadhia ananielewa bila shaka.
Usikuni mwema
Usikuni mwema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajipa moyo tajiri na mali zake maskini na wanaeAfu maskini ndiyo tunazaa mno watoto wakati wakikua wakakosa ajira hatuna hata pa kuwashikiza
Sema mkuu wewe si mzee wa kusawazaisha...Aliewai pitia hii kadhia ananielewa bila shaka. Usikuni mwema
Ahahahahah na ushawahi ku extend mda wa kulala ili uamke between mchana na asubuhiMapito ni kawaida kwenye maisha,watu tushawahi kumeza piriton ili ulale fofofo kukuche
Kuna jamaa kule anaelekezwa hii ishu yeye anakalia kubisha bisha tuu...Afu maskini ndiyo tunazaa mno watoto wakati wakikua wakakosa ajira hatuna hata pa kuwashikiza
Hatari sanaa,nishawahi kupitia hayoAliewai pitia hii kadhia ananielewa bila shaka. Usikuni mwema
Misemo ya ajabu sana hii akili mingi hapaWanajipa moyo tajiri na mali zake maskini na wanae
Tatizo mmelemaza akili kuwa lazima watu waajiriwe.Afu maskini ndiyo tunazaa mno watoto wakati wakikua wakakosa ajira hatuna hata pa kuwashikiza
Fungu la kumi kwajili ya wasiojiweza tuhPia siku ukipata usikose kushukuru na kutoa fungu la kumi kwa church
To yeye umeongea aiseeAfu maskini ndiyo tunazaa mno watoto wakati wakikua wakakosa ajira hatuna hata pa kuwashikiza
Nukuu za kijinga izo.Kuna jamaa kule anaelekezwa hii ishu yeye anakalia kubisha bisha tuu...
Anasema watoto hawawezi kuwa chanzo cha umasikini..
Sa angalia hapo what next kama watoto wengi then no care no education.. watakua wengi na wimbi la umaskini linaongezeka..
Tukisema hawaelewi kazi kushika nukuu za ajabu "" tumeletwa kuzaliana """
Na ndo inavotakiwa.. unakuta mtu ana watoto wengi na anajua life yake ni ya pangu pakavu.Nukuu za kijinga izo.
Maisha saiv ni ya kibepari ni kuwa na watoto wachache utakao weza komaa nao.