Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Kwanini?Ndo lengo..kijana haifai kuwa na hela ndo unakuwa na amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?Ndo lengo..kijana haifai kuwa na hela ndo unakuwa na amani
Inabidi itolewe elimu kuzaa sana sio sifa woooiInashangaza sana cute
Inabidi itolewe elimu kuzaa sana sio sifa woooi
Mi ndo najiandaa kufunga uzazi kabisa hapaInabidi itolewe elimu kuzaa sana sio sifa woooi
Na weee ndo kama waleTusichanganye vitu viwili hapa.
1.Kuzaa
2. Kutokua na pesa.
Huna pesa wewe wala usikuchanganye na kutozaa.Kama huna hela na bado huna watoto then wewe ndio looser zaid hapa maana tofaut yake ni nini sasa? Ilibid wewe kama umeweka pemdimg ishu ya kuzaa tuli expect uwekeze nguvu katika kutafuta maisha ufanikiwe.
Mind you, kama mtu hana pesa na ana watoto bas jua tu huyo sio kwamba hana pesa, ila ana pesa zisizotosha mahitaji.
So nyie wawil hamlingani
NI kwel kabisaaa..Mimi hata sina pesa mkuu na nina watoto wa 4. Sina pesa za excess ..ninapambana nazo zile za kuunga unga ili watoto wale wasome wavae kwa ukawaida kabisaa. Na kuna wakat huwa naamka mkavu kabisaaa..Na weee ndo kama wale
Ni sifa ya kwa kiumbe yeyote aliyekamilika. Haihusian kabisa na mtu kuwanazo au kutokua na pesa.Kama unaishi unakula unakunywa na una akil timamu trust me huwez shindwa kumudu katoto kako kamoja. Halaf , kama mtu huna mtoto/watoto hizo pesa mnahangaikia za kazi gani ?? 😂😂.Nafikiri ilipaswa watu wa namna hii ndio wawe watumishi makanisani. Hata kuwahi kuamka asubh nyie ilitakiwa msiwe na presha laleni tuu 😅.Inabidi itolewe elimu kuzaa sana sio sifa woooi
Unazaa watoto wengi unaweza bahatisha mmoja akakutoa kwenye umasikiniKuna jamaa kule anaelekezwa hii ishu yeye anakalia kubisha bisha tuu...
Anasema watoto hawawezi kuwa chanzo cha umasikini..
Sa angalia hapo what next kama watoto wengi then no care no education.. watakua wengi na wimbi la umaskini linaongezeka..
Tukisema hawaelewi kazi kushika nukuu za ajabu "" tumeletwa kuzaliana """
Ushazaaa weeeeeee halaf unadanganya wenzio hapa kuzaa sio sifa.Mi ndo najiandaa kufunga uzazi kabisa hapa
Kama watoto unamudu mahitaji yao zaa hata mia, hamna shida, kama hujimudu zaa wachacheNI kwel kabisaaa..Mimi hata sina pesa mkuu na nina watoto wa 4. Sina pesa za excess ..ninapambana nazo zile za kuunga unga ili watoto wale wasome wavae kwa ukawaida kabisaa. Na kuna wakat huwa naamka mkavu kabisaaa..
Mfano leo asbuh nimeamka na 40k tuu na mpaka saa 4 asubh imekata kesho naamkia town na buk 5 tuuuu... kwahiyo sina hela kama mleta mada anavyosema hana hata 100 but hii sioni kama ni kikwazo mimi kuwa na watoto.Haihusian kabisaa.
Probably watu huna hela kwakua huna the real perfect drive ya kukuhamasisha utafute pesa na hata ungezipata bado pa maana pa kuzipeleka
NAUNGA MKONO HOJA UNA HOJA KUBWA SANANi sifa ya kwa kiumbe yeyote aliyekamilika. Haihusian kabisa na mtu kuwanazo au kutokua na pesa.Kama unaishi unakula unakunywa na una akil timamu trust me huwez shindwa kumudu katoto kako kamoja. Halaf , kama mtu huna mtoto/watoto hizo pesa mnahangaikia za kazi gani ?? 😂😂.Nafikiri ilipaswa watu wa namna hii ndio wawe watumishi makanisani. Hata kuwahi kuamka asubh nyie ilitakiwa msiwe na presha laleni tuu 😅.
NB.
acheni kupotoshana, ZAENIIIII
Shida sio kuzaa, shida ni kuzaa watoto wengi wakati huwezi kuwamudu 😀😀Ni sifa ya kwa kiumbe yeyote aliyekamilika. Haihusian kabisa na mtu kuwanazo au kutokua na pesa.Kama unaishi unakula unakunywa na una akil timamu trust me huwez shindwa kumudu katoto kako kamoja. Halaf , kama mtu huna mtoto/watoto hizo pesa mnahangaikia za kazi gani ?? 😂😂.Nafikiri ilipaswa watu wa namna hii ndio wawe watumishi makanisani. Hata kuwahi kuamka asubh nyie ilitakiwa msiwe na presha laleni tuu 😅.
NB.
acheni kupotoshana, ZAENIIIII
Umenena vyema.Kama hujimudu zaa wachache. Sio usizae eti huwez kumudu mutunza watoto, hiki nitakataa moaka nakufa. Ukiona huweza kuwa responsible japo kwa mtu mmoja hapa duniani na una afya timamu basi jua wewe hapa duniani huna faida yoyote na bora usingekuepo unajaza nafas bure tuKama watoto unamudu mahitaji yao zaa hata mia, hamna shida, kama hujimudu zaa wachache
yan jinsi ulivyo mpambanaji hivyo, we nakupa mbegu hata ya wawili mapachaShida sio kuzaa, shida ni kuzaa watoto wengi wakati huwezi kuwamudu 😀😀
Enewei naomba mbegu ya katoto kamoja 😊
yan jinsi ulivyo mpambanaji hivyo, we nakupa mbegu hata ya wawili mapachaShida sio kuzaa, shida ni kuzaa watoto wengi wakati huwezi kuwamudu 😀😀
Enewei naomba mbegu ya katoto kamoja 😊
Niko serious ujue😀yan jinsi ulivyo mpambanaji hivyo, we nakupa mbegu hata ya wawili mapacha
Hata mimi niko serious, maana unaelewa fika kuwa Mimi na wewe tushavuka kwenye mambo ya utani now we do serious stuffs😁Niko serious ujue😀
Hata mimi niko serious, maana unaelewa fika kuwa Mimi na wewe tushavuka kwenye mambo ya utani now we do serious stuffs[emoji16]
Ahahaha..washakubananisha tayar!!..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ngoja nimalize weekend salama kwanza
Hapana si unajua mambo ni mengi kuliko mudaAhahaha..washakubananisha tayar!!..