Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #101
Wakati wa kurudi ushakua mjanja unatembea macho juu kama kuku kishingo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujinga wakati wa kwenda sio wa kurudi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati wa kurudi ushakua mjanja unatembea macho juu kama kuku kishingo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujinga wakati wa kwenda sio wa kurudi.
Hahahahah huyo jamaa ako sijui ndio huyu best angu pia hahaha, kimwanamke kinampelekesha puta yani kawa zombie ananambia kuanzia leo yani sitamtafuta tena ananidharau nmekupigia wewe kama shahidi nami nazuga tu jamani usifanye hivo namjua ni zombie, siku mbili tena anapiga yani huyu mwanamke ana kiburi nampigia simu ananitext unanisumbua nachekea nje tu mapenzi buana....ila steji hii inahitaji kuokolewaKuna muda ukiwa mpole sana hata penzi halinogi kabisa, kuna raha za kutingisha kiberiti alafu mambo yanabak kama mwanzo, kuna jamaa yangu yeye kila mara n kuniomba ushauri juu ya mpenz wake hakosei yeye lakin kwa kuomba msamaha ad namuona kama zoba na huyo mwanamke anamtikisa kweli kweli, anachokuambia n tofauti kabsa na anachoenda kutenda, hana maamuz na msimamo kama mwanaume
Naam..................
Hahahahah huyo jamaa ako sijui ndio huyu best angu pia hahaha, kimwanamke kinampelekesha puta yani kawa zombie ananambia kuanzia leo yani sitamtafuta tena ananidharau nmekupigia wewe kama shahidi nami nazuga tu jamani usifanye hivo namjua ni zombie, siku mbili tena anapiga yani huyu mwanamke ana kiburi nampigia simu ananitext unanisumbua nachekea nje tu mapenzi buana....ila steji hii inahitaji kuokolewa
Cheers sailor mwenzangu🎉🎉