Kuna muda mapenzi yanahitaji uwe na roho ngumu ili yaende sawa

Kuna muda mapenzi yanahitaji uwe na roho ngumu ili yaende sawa

Haya ndo maisha nayoishi nkitext asipojibu ndo kimya kinaendelea mpaka atafute namna yakunijibu
Kuna siku nlishawahi muita geto akazingua blabla nyingi , nkafuata namuuliza tatizo nini? Hana jibu la maana anakumbushia makosa ambayo yalishapitaga na alishanisamehe, nlipoona haeleweki nkasepa zangu kiroho safi yaani sijambebeleza, nafika geto nusu saa nyingi nashangaa mlango unangongwa,
 
kama ume fall in Love kweli, hii trick itakuja kukufanya ufe na stroke.

Ila kwa sisi ambao tunakuwa mguu ndani, mguu nje hii ni solution na inapunguza sana stress.

btw Ushauri mzuri sio rahisi kuupata, pia ni vigumu kuufuata...hasa kwa Mswahili
 
Haya ndo maisha nayoishi nkitext asipojibu ndo kimya kinaendelea mpaka atafute namna yakunijibu
Kuna siku nlishawahi muita geto akazingua blabla nyingi , nkafuata namuuliza tatizo nini? Hana jibu la maana anakumbushia makosa ambayo yalishapitaga na alishanisamehe, nlipoona haeleweki nkasepa zangu kiroho safi yaani sijambebeleza, nafika geto nusu saa nyingi nashangaa mlango unangongwa,
Watu wengine bana yani ukimpenda ndo anakuona zombie heri kuwepo kuwepo tu hueleweki
 
Watu wengine bana yani ukimpenda ndo anakuona zombie heri kuwepo kuwepo tu hueleweki
Ila nashukuru tokea siku hiyo nlitambua udhaifu wake maana kabla ya hapo aliniendesha ka gari mbovu, na nlipoondoka nlijua kabisa its over
 
kama ume fall in Love kweli, hii trick itakuja kukufanya ufe na stroke.

Ila kwa sisi ambao tunakuwa mguu ndani, mguu nje hii ni solution na inapunguza sana stress.

btw Ushauri mzuri sio rahisi kuupata, pia ni vigumu kuufuata...hasa kwa Mswahili
Kufall in love ndo maana ya kuwa nazi unaumia ndani lakin nje unaonesha kutojali maana mtu akijua unaumia anakugeuza zombi lake atakupelekesha kinyama lazima ujitahidi kubalance
 
Wote tu hata wanaume, ukute umelipenda limtu broke ass, huliombi hata mia afu eti nalo linaringa khaaaaa
Kiukweli wanawake too much, kwa wanaume mara nyingi unakuta alikuwa hakupendi, lakin mwanamke unakuta nayy anakupenda kafa kaoza lakini muoneshe kuwa unampenda yy badala aoneshe yake anaamua kuficha
 
Roho ngumu ndio, ukiwa mlaini sana utateseka yatakupeleka puta yakufanye zombi. Moyo upondeke, ujione haufai uyachukie mapenzi wakati ni makitu matamu tu. Chagua kua nazi (nje ngumu ndani laini) au firigisi (nje laini ndani ngumu) ukiwa maini umekwisha.

Kwenye mapenzi ukiwa na moyo laini sana utateseka, ukiangalia watu wanaoteswa ni watu wenye mioyo laini, wenye mapenzi, unyenyekevu nk yani mtu moyo laini hadi akikosewa anaomba msamaha yeye. Ndugu zangu wa kiumeni roho ngumu sijui mmemuuzia nani hadi siku hizi mapenzi yanawaliza kama watoto hamkuaga hivi eti!!

Enzi hizo nikiwa sijachagua kuwa Nazi, jamaa mmoja alinipeleka puta alininyoosha, namzimia mbaya nae anajua anazimiwa basi simu nimtafute mie nikichuna anachuna, akiwa na kiu ndo anicheki kwa yale makopa nikiitwa natamani kupaa naona gari itanichelewesha. Pozi zikazidi mara simu asipokee uuuh sikomi napiga tu napiga tu mwisho nkajiona fala. Namba yake fyeka, picha msg na kila kitu fyekelea mbali nikauchuna japo naugulia siku inaisha ila kwa tabu oooh.

Wiki tatu zikakata wote kimya, najifanya Nazi nje mgumu ila huku ndani naugua, mara akaibuka na "hi" yani hi tu ikanitia nyegeee nyegezi mapenzi jamani mmmh nikakaushaa zikapita siku kadhaa ikaingia simu namba ngeni sio za Tz inaita mara mbili naicheki tu ya tatu nikapokea "mambo" kumbe ni yeye nikajifanya simjui "poa we nani", najibu kikauzu sauti ya kike nikaiacha kabatini mie flani kajitambulisha, huku moyo umejaa furaha ila najibu kawaida "okay ahsante" akaguna naona alikua haamini akajichetua nimesafiri nikirudi nitakucheki nami "ok" na simu nikakata utadhani nimepiga mie nikasikia rahaa makopa kopa nayaona. Nikawa narudi kwa ile namba naicheki tu nasmile sipigi wala nini.

Kesho yake akaanza upya I miss you much bla bla nikamjibu me too anashukuruuu ooh thanks, much thanks, nkajisemea pambafff kumbe kupendana unajua ila ule ulaini wangu ndo unakupa kiburi tukaanza kupendana tena ila moyo mlaini nikaudelete bora niugulie huko pembeni ila muda huo naweka roho ya nyau.

Nikamkumbuka jamaa yangu anavoliaga na mapenzi, mlaini hadi anaboa utadhani sio mwanaume. Ni vile tu kwenye mapenzi ya watu inatakiwa kuwa na ushauri neutral nisijekua mchawi kalaba hapo baade, mke nae kishamjua jamaa laini basi anamfanyia mapicha picha kosa afanye yeye na bado aombwe msamaha. Jamaa akinipa story anajitutumua yule mwanamke atanikoma nami nampoza kiuongo uongo jamani mapenzi uvumilivu kumbe namjua mwanaume maini tu hana lolote ataenda kuomba msamaha. Ukiona zengwe zinazidi punguza ulaini

Angalizo, za kuambiwa changanya na zako kabla hujaamua kuwa Nazi au firigisi angalia na mtu wako yukoje usijejifanya mgumu akapeperuka. Usikute alikua anakutafutia sababu umejifanya mgumu kumbe ndo umejikatia tiketi.
Alamsik
Usitufundishe mapenzi hayana formula, una uwezo wa kumuumba mpenzio otherwise yatakayokupata ni matokeo ya kutowajibika kwako basi.
 
Kiukweli wanawake too much, kwa wanaume mara nyingi unakuta alikuwa hakupendi, lakin mwanamke unakuta nayy anakupenda kafa kaoza lakini muoneshe kuwa unampenda yy badala aoneshe yake anaamua kuficha
Sasa kama hapendi mbona ukisepa anarudi rudi kama mp?
 
Sasa kama hapendi mbona ukisepa anarudi rudi kama mp?
Kichwa cha chini kinamsumbua mnyime uone kama atakufuata tena, yaani mwambie tuendelee kuwa wapenzi tu ila mzigo hapana uone kama hatapita hivi, au ukifika wakati wakupeana mzungushe kama alikuwa hakupendi hata mwezi hautaisha atakuonesha ukweli ila kama anakupenda kweli ataenda kula wengine lakini hasepi moja kwa moja atakuwa na muda na ww
 
Usitufundishe mapenzi hayana formula, una uwezo wa kumuumba mpenzio otherwise yatakayokupata ni matokeo ya kutowajibika kwako basi.
Tagged???? Nisiwafundishe wewe na nani?
 
Nacheka kama mazuri, pole bana
Asante,...naendelea kupoa MDOGO MDOGO.anyways ewe Salt...nimekua jf for long but sikuwahi kubwa na account. Nimekua nasoma post zako and unaongeaga ukweli mwingi ujue.am yo big fun and leo kucomment on wat I said its an honour my dia.wewe sio timu ila una mashabiki and Mimi ni mmoja wao.long live EVELYN Salt.umeni inspire kiukweli kua Nazi....hii NGOMBE yangu nimefuta namba ata akipiga sipokei.kwani iko nini?naumia ila ushaniambia niwe Nazi....unazi tu
 
Back
Top Bottom