Kabisa....Kuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga π, simu zitaingia Kama zote, utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje!
Mkuu hebu tueleweshe sisi wa huku NantumboKuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga π, simu zitaingia Kama zote, utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje!
UShajipata sasa unawakoga wana!, kumbuka kuna wana uliwasumbua enzi hizo kabla hujajipata kwa vizinga nq wakakubeba.Kuna muda ukipata hela wenzako unaofanyanao kazi kama wanajua umepata hela ni bora kuweka Airplane mode kuepuka Mizinga π, simu zitaingia Kama zote, utasikia Mkuu mbona kimya unaniachaje!
Sasa hapo itabidi kuvaa kinyago maana wengine tuna sura za kubembelezea wanaKuwa na sura ngumu mpaka mtu aogope kukukopa.
Na kuitoa unafanyaje?Piga *35*0000#
Hutojuta
Hivi kuindoa inakuwaje*35*0000#