Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hellow guys,
Mimi nataomba kujua kuna Mungu ambaye ana bariki kulingana na sadaka yako ulio toa yaani kama umetoa kanisani 1000 unabarikiwa kidogo lakini kama umetoa 7000 unabarikiwa zaidi ya yule alie toa kidogo
Kuna kanisa moja niliendaga ni maarufu sana hapa DSM nikasikia mchungaji anatoa tangazo pale mbele mwenye milion moja anaetaka Mungu amtende Muhujiza kwa haraka wapite mbele niwa weke mikono nikaogopa nikamuuliza jirani yangu dah watu wana hela akasema wewe ngojea atafika mpka 5000 kweli.
Bada ya muda akasema mwenye 5000 mimi nikatoka zangu nikaenda nayo pale mbele mimi kidogo mbishi kwenye kufumba macho nikagoma kufumba nikawa na mtazama machoni tukagongana aka kwepesha yeye macho na hii huwa inatokeaga sana nikiwa na wasiwasi na mchungaji.
Nilikuwaga na matatizo yangu niliangaika sana kwa wachungaji lakini nikaja kupata msaada katika kanisa langu nililo batizwa Mtakatifu petrol na poul kupitia Ekarist takatifu nilijiona bwege sana kwanini nilikuwa naangaika kwenye makanisa mengine lakini yote haya ni mshawishi alikuwa ni women jamani.
Hapana
Mimi nataomba kujua kuna Mungu ambaye ana bariki kulingana na sadaka yako ulio toa yaani kama umetoa kanisani 1000 unabarikiwa kidogo lakini kama umetoa 7000 unabarikiwa zaidi ya yule alie toa kidogo
Kuna kanisa moja niliendaga ni maarufu sana hapa DSM nikasikia mchungaji anatoa tangazo pale mbele mwenye milion moja anaetaka Mungu amtende Muhujiza kwa haraka wapite mbele niwa weke mikono nikaogopa nikamuuliza jirani yangu dah watu wana hela akasema wewe ngojea atafika mpka 5000 kweli.
Bada ya muda akasema mwenye 5000 mimi nikatoka zangu nikaenda nayo pale mbele mimi kidogo mbishi kwenye kufumba macho nikagoma kufumba nikawa na mtazama machoni tukagongana aka kwepesha yeye macho na hii huwa inatokeaga sana nikiwa na wasiwasi na mchungaji.
Nilikuwaga na matatizo yangu niliangaika sana kwa wachungaji lakini nikaja kupata msaada katika kanisa langu nililo batizwa Mtakatifu petrol na poul kupitia Ekarist takatifu nilijiona bwege sana kwanini nilikuwa naangaika kwenye makanisa mengine lakini yote haya ni mshawishi alikuwa ni women jamani.
Hapana