Kuna Mwamba muda si mrefu anaingia choo cha kike

Kuna Mwamba muda si mrefu anaingia choo cha kike

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Habari Wana Jf

Nilikuwa busy mno kiasi ambacho muda mrefu sikuwa active na jf.Ndugu zangu nina rafiki mmoja wa kike ni mwanamke mzuri sana na pia yupo full package ana vitu vyote ambavyo Wanaume wengi wanavipenda.Kutokana urafiki wa Karibu nilionao na yeye aliwahi kunitengenezea mazingira ya kumgonga but binafsi sikuwa willing kwasababu nina yajua mazingira yake ni demu ambaye anagawa ovyo sana bila kujali hata rika uwe mzee au laah ilihali tu uwe na pesa, Sasa huyo demu amechumbiwa na mwamba mmoja na anaishi kwa huyo mwamba baada ya kujua Hilo namsikitikia jamaa kwasababu huyo manzi anapenda maisha ya luxury,kicheche,mnywaji wa pombe Kali mno sijajua jamaa kashindwa kujua haya yote.

Mbaya zaidi anakuwaga anakaa mikoa miwili tofauti mkoa A ndio Wazazi na huyo mtu wake anaishi nae mkoa B anasema anaenda kwaajili ya biashara ndio ambapo mimi nipo sio biashara wala nini ndipo ambapo mabwana zake wapo ndio huko wapo wengi na ushenzi anapofanyia

NB: Mwamba nadhani kvutika na uzuri wa manzi bila kumjua kwa undani sijui kwanini sisi Wanaume hatufanyi research ya kutosha kabla ya kuoa na wale kampeni wakataa ndoa wanapata nguvu kuzidisha kampeni kama hali ni kama hivi
 
Habari Wana Jf

Nilikuwa busy mno kiasi ambacho muda mrefu sikuwa active na jf.Ndugu zangu nina rafiki mmoja wa kike ni mwanamke mzuri sana na pia yupo full package ana vitu vyote ambavyo Wanaume wengi wanavipenda.Kutokana urafiki wa Karibu nilionao na yeye aliwahi kunitengenezea mazingira ya kumgonga but binafsi sikuwa willing kwasababu nina yajua mazingira yake ni demu ambaye anagawa ovyo sana bila kujali hata rika uwe mzee au laah ilihali tu uwe na pesa, Sasa huyo demu amechumbiwa na mwamba mmoja na anaishi kwa huyo mwamba baada ya kujua Hilo namsikitikia jamaa kwasababu huyo manzi anapenda maisha ya luxury,kicheche,mnywaji wa pombe Kali mno sijajua jamaa kashindwa kujua haya yote.

Mbaya zaidi anakuwaga anakaa mikoa miwili tofauti mkoa A ndio Wazazi na huyo mtu wake anaishi nae mkoa B anasema anaenda kwaajili ya biashara ndio ambapo mimi nipo sio biashara wala nini ndipo ambapo mabwana zake wapo ndio huko wapo wengi na ushenzi anapofanyia

NB: Mwamba nadhani kvutika na uzuri wa manzi bila kumjua kwa undani sijui kwanini sisi Wanaume hatufanyi research ya kutosha kabla ya kuoa na wale kampeni wakataa ndoa wanapata nguvu kuzidisha kampeni kama hali ni kama hivi
amekwambia hajabadilika?
by the way nimempenda hivyo hivyo, fanya yako, yetu tuachie!!
 
Habari Wana Jf

Nilikuwa busy mno kiasi ambacho muda mrefu sikuwa active na jf.Ndugu zangu nina rafiki mmoja wa kike ni mwanamke mzuri sana na pia yupo full package ana vitu vyote ambavyo Wanaume wengi wanavipenda.Kutokana urafiki wa Karibu nilionao na yeye aliwahi kunitengenezea mazingira ya kumgonga but binafsi sikuwa willing kwasababu nina yajua mazingira yake ni demu ambaye anagawa ovyo sana bila kujali hata rika uwe mzee au laah ilihali tu uwe na pesa, Sasa huyo demu amechumbiwa na mwamba mmoja na anaishi kwa huyo mwamba baada ya kujua Hilo namsikitikia jamaa kwasababu huyo manzi anapenda maisha ya luxury,kicheche,mnywaji wa pombe Kali mno sijajua jamaa kashindwa kujua haya yote.

Mbaya zaidi anakuwaga anakaa mikoa miwili tofauti mkoa A ndio Wazazi na huyo mtu wake anaishi nae mkoa B anasema anaenda kwaajili ya biashara ndio ambapo mimi nipo sio biashara wala nini ndipo ambapo mabwana zake wapo ndio huko wapo wengi na ushenzi anapofanyia

NB: Mwamba nadhani kvutika na uzuri wa manzi bila kumjua kwa undani sijui kwanini sisi Wanaume hatufanyi research ya kutosha kabla ya kuoa na wale kampeni wakataa ndoa wanapata nguvu kuzidisha kampeni kama hali ni kama hivi
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.
 
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Utanielewaje siku Moja baada ya Mkeo kukupiga na tukio kubwa.... Mimi kama Rafiki yako nikuambie....

Mkeo kabla hujamuoa nilimjua sana ndo tabia zake za kimalaya Mwanangu, anagawa mnooo yaan nilikua mpaka nakuonea huruma.


Utanitafasiri vp?.

Ujanja ni kuonyeshana Hatari !!


Nakutana na Demu mtaani kwako, Unajua kabisa Demu kaungua, au ni Malaya wa kujiuza usiku, nataka kuoa .


Hunistui, alafu unajiita Mwanangu ??? Serious?.


Sema Duniani hapa, hasa sisi waafrika, tuna Roho mbayaaa, Huwa tunapenda kuona wenzetu wanaharibikiwa hata kama tulikua na nafasi ya kuwasaidia !!.
 
utakaekuja kumuoaa kuna mtu ana story zake akikuadithia utazimiaaa....!! so punguza kiherehereee maan kiukweli roho inakuuma mwana kubeba chombo unamuonea wivu mtoto wa kike kuolewa??? KAOLEWE WEWE BHASI. #mambo ya afande hayo unaleta
 
utakaekuja kumuoaa kuna mtu ana story zake akikuadithia utazimiaaa....!! so punguza kiherehereee maan kiukweli roho inakuuma mwana kubeba chombo unamuonea wivu mtoto wa kike kuolewa??? KAOLEWE WEWE BHASI. #mambo ya afande hayo unaleta
Wivu wangu uko wapi kwanza?
 
huwezi sema ila ndio ukweli mmeachana fata yako achana na maisha yake.
Nitakuaje na wivu na demu ambaye si mtu wangu na wala sijawahi kumgonga japo alikuwa ananioneshea mazingira ya mimi nimgonge
 
Back
Top Bottom