Kuna Mwamba muda si mrefu anaingia choo cha kike

Kuna Mwamba muda si mrefu anaingia choo cha kike

Utanielewaje siku Moja baada ya Mkeo kukupiga na tukio kubwa.... Mimi kama Rafiki yako nikuambie....

Mkeo kabla hujamuoa nilimjua sana ndo tabia zake za kimalaya Mwanangu, anagawa mnooo yaan nilikua mpaka nakuonea huruma.


Utanitafasiri vp?.

Ujanja ni kuonyeshana Hatari !!


Nakutana na Demu mtaani kwako, Unajua kabisa Demu kaungua, au ni Malaya wa kujiuza usiku, nataka kuoa .


Hunistui, alafu unajiita Mwanangu ??? Serious?.


Sema Duniani hapa, hasa sisi waafrika, tuna Roho mbayaaa, Huwa tunapenda kuona wenzetu wanaharibikiwa hata kama tulikua na nafasi ya kuwasaidia !!.
Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.

Wewe unaweza kuona unamstua mtu, kumbe mtu kashajua tayari anakuona unamletea uduanzi.

Acheni ujinga wa kujifanya polisi wa mahusiano ya watu.

Wewe mtu hata humjui, unaanzaje kumwambia huyu mwanamke hakufai?
 
Habari Wana Jf

Nilikuwa busy mno kiasi ambacho muda mrefu sikuwa active na jf.Ndugu zangu nina rafiki mmoja wa kike ni mwanamke mzuri sana na pia yupo full package ana vitu vyote ambavyo Wanaume wengi wanavipenda.Kutokana urafiki wa Karibu nilionao na yeye aliwahi kunitengenezea mazingira ya kumgonga but binafsi sikuwa willing kwasababu nina yajua mazingira yake ni demu ambaye anagawa ovyo sana bila kujali hata rika uwe mzee au laah ilihali tu uwe na pesa, Sasa huyo demu amechumbiwa na mwamba mmoja na anaishi kwa huyo mwamba baada ya kujua Hilo namsikitikia jamaa kwasababu huyo manzi anapenda maisha ya luxury,kicheche,mnywaji wa pombe Kali mno sijajua jamaa kashindwa kujua haya yote.

Mbaya zaidi anakuwaga anakaa mikoa miwili tofauti mkoa A ndio Wazazi na huyo mtu wake anaishi nae mkoa B anasema anaenda kwaajili ya biashara ndio ambapo mimi nipo sio biashara wala nini ndipo ambapo mabwana zake wapo ndio huko wapo wengi na ushenzi anapofanyia

NB: Mwamba nadhani kvutika na uzuri wa manzi bila kumjua kwa undani sijui kwanini sisi Wanaume hatufanyi research ya kutosha kabla ya kuoa na wale kampeni wakataa ndoa wanapata nguvu kuzidisha kampeni kama hali ni kama hivi
Hicho niki here here mambo ya watu hayakuhusu hata kama alikua anauza wamekubaliana wao unajuaje kama kaamua kubadilika akae na jamaa,wewe si mwanaume kabisa.
 
Habari Wana Jf

Nilikuwa busy mno kiasi ambacho muda mrefu sikuwa active na jf.Ndugu zangu nina rafiki mmoja wa kike ni mwanamke mzuri sana na pia yupo full package ana vitu vyote ambavyo Wanaume wengi wanavipenda.Kutokana urafiki wa Karibu nilionao na yeye aliwahi kunitengenezea mazingira ya kumgonga but binafsi sikuwa willing kwasababu nina yajua mazingira yake ni demu ambaye anagawa ovyo sana bila kujali hata rika uwe mzee au laah ilihali tu uwe na pesa, Sasa huyo demu amechumbiwa na mwamba mmoja na anaishi kwa huyo mwamba baada ya kujua Hilo namsikitikia jamaa kwasababu huyo manzi anapenda maisha ya luxury,kicheche,mnywaji wa pombe Kali mno sijajua jamaa kashindwa kujua haya yote.

Mbaya zaidi anakuwaga anakaa mikoa miwili tofauti mkoa A ndio Wazazi na huyo mtu wake anaishi nae mkoa B anasema anaenda kwaajili ya biashara ndio ambapo mimi nipo sio biashara wala nini ndipo ambapo mabwana zake wapo ndio huko wapo wengi na ushenzi anapofanyia

NB: Mwamba nadhani kvutika na uzuri wa manzi bila kumjua kwa undani sijui kwanini sisi Wanaume hatufanyi research ya kutosha kabla ya kuoa na wale kampeni wakataa ndoa wanapata nguvu kuzidisha kampeni kama hali ni kama hivi
Sasa mwamba kwanini hukumla!!? Du umetuangusha Sana mkuu mbona tulisha kubaliana kwamba demu hata akiwa malaya vp usikatae ofa ya mbususu kikubwa zingatia kuvaa buti.
 
Sasa mwamba kwanini hukumla!!? Du umetuangusha Sana mkuu mbona tulisha kubaliana kwamba demu hata akiwa malaya vp usikatae ofa ya mbususu kikubwa zingatia kuvaa buti.
Mimi simpenzi wa ndomu naona kama sifanyi mapenzi niliwahi kutumia Mara Moja ikanishinda nimeenda kama masaa ma2 bila hata kutoa bao moja mpaka demu akadhani nimetumia mkongo kumbe wala ni ile hali yakutofeel unafanya mapenzi tokea hapo nikasema sitovaa Tena mpira. So ninakuwa Makini Sana ninapochagua partner wakufanya nae mapenzi kama nina kuwa na wasiwasi nae au moyo wangu unasita kufanya nae mapenzi basi sitofanya nae kabisa for me Bora nisifanye mapenzi kuliko kutumia ndomu
 
tukisema KATAA NDOA tuelewane tu wakuu, ona sasa hapo kuna mwamba anaenda kuyakanyaga
 
Siku hizi demu akikuaga anaenda Dodoma anza kufanya mpango wa kumuacha.
 
Wewe utakayekuja muoa unamjua?achana na mapenzi ya watu! Unazani yeye hajamchunguza?
 
Back
Top Bottom