Kuna Mwamba muda si mrefu anaingia choo cha kike

Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.

Wewe unaweza kuona unamstua mtu, kumbe mtu kashajua tayari anakuona unamletea uduanzi.

Acheni ujinga wa kujifanya polisi wa mahusiano ya watu.

Wewe mtu hata humjui, unaanzaje kumwambia huyu mwanamke hakufai?
 
Hicho niki here here mambo ya watu hayakuhusu hata kama alikua anauza wamekubaliana wao unajuaje kama kaamua kubadilika akae na jamaa,wewe si mwanaume kabisa.
 
Sasa mwamba kwanini hukumla!!? Du umetuangusha Sana mkuu mbona tulisha kubaliana kwamba demu hata akiwa malaya vp usikatae ofa ya mbususu kikubwa zingatia kuvaa buti.
 
Sasa mwamba kwanini hukumla!!? Du umetuangusha Sana mkuu mbona tulisha kubaliana kwamba demu hata akiwa malaya vp usikatae ofa ya mbususu kikubwa zingatia kuvaa buti.
Mimi simpenzi wa ndomu naona kama sifanyi mapenzi niliwahi kutumia Mara Moja ikanishinda nimeenda kama masaa ma2 bila hata kutoa bao moja mpaka demu akadhani nimetumia mkongo kumbe wala ni ile hali yakutofeel unafanya mapenzi tokea hapo nikasema sitovaa Tena mpira. So ninakuwa Makini Sana ninapochagua partner wakufanya nae mapenzi kama nina kuwa na wasiwasi nae au moyo wangu unasita kufanya nae mapenzi basi sitofanya nae kabisa for me Bora nisifanye mapenzi kuliko kutumia ndomu
 
tukisema KATAA NDOA tuelewane tu wakuu, ona sasa hapo kuna mwamba anaenda kuyakanyaga
 
Siku hizi demu akikuaga anaenda Dodoma anza kufanya mpango wa kumuacha.
 
Wewe utakayekuja muoa unamjua?achana na mapenzi ya watu! Unazani yeye hajamchunguza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…