Kuna mwanamke ananisumbua sana, kila nikimtongoza ananikataa

Kuna mwanamke ananisumbua sana, kila nikimtongoza ananikataa

Vampire 99

Senior Member
Joined
Jun 15, 2021
Posts
108
Reaction score
63
Natumai wote mko salama.

Ipo hivi mwaka jana nilikutana na mwanamke mmoja hivi nakumbuka ni october 2020, kama kawaida yetu wanaume nikajilipua nikachukua namba za simu kwa nia ya kuchakata papuchi tu.

Ila sasa baada ya kuanzisha mawasiliano na huyo mwanadada nimesahau kabisa lengo langu, nakujikuta napenda tu awe karibu na mimi kila wakati.

She is very smart kwakweli nimejikuta nampenda sana siwezi kumwacha aende na sijamfanya chochote mpaka sasa.

Key point ni kwamba kila nikijaribu kumtongoza anaruka, sasa nikaamua kujikaza niachane nae tu coz naumia, ila nikiacha kuwasiliana nae analalamika mpaka kulia na kuniuliza kama kaniudhi kwa lolote.

Na anapenda sana tuonane mara kwa mara ila ukimtongoza haeleweki anaruka. Wakuu nisaidieni nataka nimsahau kabisa nimpotezee coz nampenda ila simwelewi, wakuu nilikuwaga najishangaa nimekaa na pisi kadhaa ila sijawahi mpenda yeyote kati yao ila huyu ndo basi tena.

Nimeachana na pisi zangu zote kwaajili yake nimepoteza mda mwingi sana nikijua atakaa sawa.

1627364252859.png

 
Hawa viumbe hawaeleweki kama papuchi zako.
 
Mwambie wenzako wananiachiaga tu vitundu vyao nivichezee ninavyotaka halafu wewe tundu lako unaringa nalo
 
Kuna uwezekano huyo mwanamke anakupenda sana ila atakuwa anamapungufu fulani anaogopa kukuambia anajua labda ukijua utapotea mazima hutataka hata kuonana naye

Nenda naye taratibu utamjua tu
 
Tatizo ni wewe sio yeye, na wa kulitatua ni wewe sio yeye.

Kwanza
Umepapatika kwake na yeye akajua umeoapatika. Umekuwa kichwa yeye shingo. Atakugeuza atakavyo.

Pili
Unapatikana kwa urahisi mno. Kila mara simu wapiga, sms ndio usiseme, outing au mitoko sana. Make yourself scarce to maximize your demand.

Tatu.
Huna malengo. Ungekuwa na malengo ungeshalimaliza hili swala. Maana ya malengo ni kujua nini unataka na kwa muda gani. Ukishindwa kufikia malengo unaacha na hicho kitu.

Acha uzembe wa akili.
 
je ulishawahi kula tunda kimasihara.

ilikuwa juz juz wakati napita maeneo flani nikakutana na mwanamke kama kawaida nika...........,
 
Back
Top Bottom