Kuna mwanamke ananisumbua sana, kila nikimtongoza ananikataa

Mkuu iyo iko sealed. Oa kabisa. Utakaa nayo maishani kabisa. Utapiga picha kadi unitimie inbox nije kushuhudia sjajua ma vampire ndoa zao zikoje
Kweli mkuu aliwahi nambia ako sealed
 
Mshikaji unaachanaje na pisi zako zote Kwa kuweka malengo sehemu ambayo bado hujaona mafanikio? Ila we endelea tu kukomaa atakuelewa taratibu tu
Nilitaka kuwa nae serious mkuu
 
Kuna uwezekano huyo mwanamke anakupenda sana ila atakuwa anamapungufu fulani anaogopa kukuambia anajua labda ukijua utapotea mazima hutataka hata kuonana naye

Nenda naye taratibu utamjua tu
Asante mkuu
 
Mkatae mazima
 
Ukweli thanks bro
 
Nipe namba zake nimseme. Asikunyanyase huyo
 
Ukisha gonga hayo mapenzi huwezi kuwa nayo.

Ni kama vile unavyomwona Poshqeen alivyo na ule msambwanda, lakini kuna jamaa kadhalisha afu kala kona.
Ila mkuu kwasasa nampenda sijui itakuaje baada ya papuchi
 
Kama wewe ni mvuvi kweli badilisha aina ya chambo kwenye ndoano. Samaki hupenda kula vitu anavyovipenda ndio hunasa kwenye ndoano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…