Mawazo Yako tu, Sasa unataka tukashindane na wakina Sanchoka kupost makalio ?Wanawake wngi wanaopenda Jamii forums, wapo kawaida mno na wengi wao wamekaa kushoto kimtazamo!! Jamii forums n mtandao ambao umekaa kiume zaid kumkuta mtoto wa kike muda mwingi yupo humu badala ya Insta...n lazma kuna kitu anakikmbia huko insta.....humu ndo faraja yake ...msichanganywe na avatar guyz...hata wale wa Insta wapo huku lakin sio active kihivyo......
Siku hizi umezoea kusutwa eeehSio mzee wa busara tena
Hahaaaa. Ndio hapo Dada uache usingizi eti unamsubiri Genta lol. Atawapata wale wenye Uteja na jf.Niache kulala nije kukesha jf nalipwa au yaan wataokesha hawana pa kulala au wanalala kwa shemeji zao halaf nilichoshtukia Genta anacheza na akili zetu hakuna mwanamke anayempenda wala ninii kashaona watu wanapenda ubuyu
Usijali sisterSawa kaka Usijali. Ndio ujitahidi niwe nakuona ona yaani usiadimike kiasi hicho.
Ahsante sana. [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Lakini kuibia kupoHapana.
Kwenye mtihani sio kila siku lazima upate 100%
Karibu sana Kaka.Usijali sister
Shkamoo kaka
mmmh...Aisee...Am following
Sikirini shoti ya ninii huo mda sina niache kumkumbatia shemeji yako nikeshe jf hapana aiseeHahaha
Unitumie sikirini shoti hebu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atanisuta mwanaume gani sasaSiku hizi umezoea kusutwa eeeh
Hakuna kitu chochote anacheza na akili za watuHahaaaa. Ndio hapo Dada uache usingizi eti unamsubiri Genta lol. Atawapata wale wenye Uteja na jf.
Mie pia nimeligundua hilo hamna kitu hapa.
Hahaaaa. Hatariii.Hakuna kitu chochote anacheza na akili za watu
Mie na kakakoo... Si unajua venye najua kushusha bango eeh..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atanisuta mwanaume gani sasa
Sipati notification sijui wapi ngoja nitafute uzi mmoja mmojaHahaaaa. Hatariii.
Nimekutag Dada kule njoo basi. [emoji12]
SawaSikirini shoti ya ninii huo mda sina niache kumkumbatia shemeji yako nikeshe jf hapana aisee
MmmhShikamu Sakayo
Hahahaaaaaaaaaa. Sasa ukitafuta uzi mmoja mmoja mpaka ukija dada si Mbao itakuwa ishakupiga kichwani.Sipati notification sijui wapi ngoja nitafute uzi mmoja mmoja
mmmh...