Kuna Mwanamke nampenda humu hadi Malaika wa Mbinguni wanajua, je nivunje ukimya ili afurahi?

Hahaha!, uiwiii!, hearly wewe utafanya nikimbie.

Huyu bwana shughuli yake humu ndani sio ya kispoti spoti...lol
hahaa binafsi naona zile sifa tajwa pale juu zinakulenga wewe tu mkuu so huwezi kuishi nje ya mstari wazile sifa ...kuhusu shughuli yake ya humu ndani ukishakuwa wa ubani wake yakupasa ufumbe macho tu ktk baadhi ya mambo yake ..ujifnye kama umepofuka hvi ili maisha yaendelee
 
Hawataishi pamoja kwa amani. Two genius never live together.
Mungu sio mjinga.
Genta MTU amfaaye ni Inna
lakini vigezo alivyovitaja gent ..vinamkataa inna ..sasa hapo lbda umshauri abadilishe hvyo vigezo vyake ...maana mimi nilimpndekeza nalendwa kutokana na sifa ambazo alizozitaja gent ....
 
lakini vigezo alivyovitaja gent ..vinamkataa inna ..sasa hapo lbda umshauri abadilishe hvyo vigezo vyake ...maana mimi nilimpndekeza nalendwa kutokana na sifa ambazo alizozitaja gent ....
Gent anapenda qualities za N. Wataishi muda mfupi. Ndoa ni uvumilivu. Two sparks.......!
 
Kuna Beautiful Nkosazana( huyu anamfaa Nani kuwa true partner?)
 


Lakini naona kama hizo sifa ni kubwa sana..
Kwa kweli ndoa ni uvumilivu, na uvumilivu na huyu bwana unahitajika mkubwa sana.
Tusubiri tuone nani atalikwaa Taji! πŸ™‚
 
Lakini naona kama hizo sifa ni kubwa sana..
Kwa kweli ndoa ni uvumilivu, na uvumilivu na huyu bwana unahitajika mkubwa sana.
Tusubiri tuone nani atalikwaa Taji! πŸ™‚
Labda mtawezana kwa kuwa wote ni INTERLACUSTRINE REGION ( I'm not so sure with spelling)
 
Lakini naona kama hizo sifa ni kubwa sana..
Kwa kweli ndoa ni uvumilivu, na uvumilivu na huyu bwana unahitajika mkubwa sana.
Tusubiri tuone nani atalikwaa Taji! πŸ™‚
hahahaa maana majibu yake tu anayoyatoaga huwa hayana tofauti na MZee wake bakayoko ..
lkini kama kweli tatizo liko hapo ..basii nina weza kumtetea kuwa ndio maana kahitaji mwanamke Mwenye sifa zile ambazo amezioanisha ..maana mwanamke Mwenye sifa zile kama atamkuta akiwa na mapungufu atatumia akili yake kum shape na mpka aweze kubadilika ktk baadhi ya mitazamo na misimamo ...hahaaa kwahiyo bado huna pakujificha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…