Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,385
- 2,402
Hivi kuna mtu anapokea taarifa Crystal nchi hii kama moja? Awamu hii tupo pamoja popoma guru😂😂😂😂😂😂😂GENTAMYCINE huwa napenda mno Kukutana na Critical Thinkers kama Wewe hapa JamiiForums kutokana na Jambo Muhimu na la Msingi pia Uliloliandika hapa kuliko 'damn Fools' kama akina Chura ambao hupenda sana Kukurupuka Kuchangia Mada zangu ambazo bahati mbaya Kwao ni kwamba nyingi huwa zinazidi Uwezo wao Duni wa Kufikiri waliobarikiwa nao na Mwenyezi Mungu.