Kaplizer
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 720
- 582
Wakuu nipo mkoa mojawapo wa Kanda ya magharibi hapahapa Tanzania 🇹🇿.
Nipo maporini kidgo kwenye fursa ya kilimo..lakini eneo nilipo huku Kuna Kobe wengi maporini.
Vipi Kuna fursa ya kuwauza au Na ni hatua Gani Za kufuata nisisumbuke na mamlaka husika,
Nipo maporini kidgo kwenye fursa ya kilimo..lakini eneo nilipo huku Kuna Kobe wengi maporini.
Vipi Kuna fursa ya kuwauza au Na ni hatua Gani Za kufuata nisisumbuke na mamlaka husika,