Kuna mwenye uelewa na postgraduate diploma msaada

Google Diggers

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
944
Reaction score
1,138
Naitwa Google Diggers. Nina miaka 31

Nina degree ya Sanaa yaani bachelor of arts na nina stashahada ya masuala hayahaya ya Sanaa. Kifupi ni Political sciences.

Nataka kufanya post graduate ya IT


Je inaweza ikakubalika?? IT imejaa science na mimi science niliifanya o level pekee

Msaada wa Mawazo
 
Kama ulisoma physics,maths,nadhani na chemistry mpaka form four na ukapata pass unaweza apply certificate kwanza kama utaona inalipa.Lakini vipo vyuo vingine unaweza soma mpaka diploma bila ata hayo masomo

Kuhusu kupitia njia ya post graduate sina uhakika sana lakini post graduate ya Information Technology itakuwa ngumu(unapigwa kozi kibao kwa muda mchache unaishia kupata cheti na sio ujuzi)
 
Unaweza kusoma IT bila tatizo. Postgraduate Diploma ni kozi ya Mwaka mmoja; ni kiungo cha wale wasiokuwa na taaluma husika. Program hiyo inasomeka. Baadae utasoma Masters kabisa baada ya huo Msingi. Kila la kheri
 
Haiwezi kwa sababu huna background ya IT, Computer science, Engineering au
Physics kwenye degree ya kwanza. Hivyo tumia cheti chako cha Olevel soma certificate au
diploma ya IT au Computer Science.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…