Kuna namna ya kufupisha muda wa simu kuita ukipigiwa?

Kuna namna ya kufupisha muda wa simu kuita ukipigiwa?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Habari wakuu sana,

Kuna zile simu unapigiwa lakini unakuwa hautaki kupoke au muda huo hauwezi kupokea kwa sababu mbalimbali.

Sasa zinaita muda mrefu inakuwa kero na kukata huwezi. nimeona kuwa kwa wastani simu inaita sekunde 30-45.

Kuna namna ya kufupisha labda iite sekunde 5 au 10 hivi kisha imwambie "Hapatikani jaribu baadaye"?
 
Mkuu sijawahi kusikia kama kuna uwezekano huu lakini kwa jinsi ninavyofahamu kuna baadhi ya codes wanatumia watu katika simu zao kama hataki usumbufu anaweka code hio kwa namba unayotaka wewe na anapokupigia simu inakata haisemi chochote lakini wewe kule unaona anavopiga
 
Habari wakuu sana,

Kuna zile simu unapigiwa lakini unakuwa hautaki kupoke au muda huo hauwezi kupokea kwa sababu mbalimbali.

Sasa zinaita muda mrefu inakuwa kero na kukata huwezi. nimeona kuwa kwa wastani simu inaita sekunde 30-45.

Kuna namna ya kufupisha labda iite dk 5 au 10 hivi kisha imwambie "Hapatikani jaribu baadaye"?

Yaani umesema wastani simu inaita sekunde 30-45 halafu unasema ifupishwe iite dk 5 au 10?realy?
 
Habari wakuu sana,

Kuna zile simu unapigiwa lakini unakuwa hautaki kupoke au muda huo hauwezi kupokea kwa sababu mbalimbali.

Sasa zinaita muda mrefu inakuwa kero na kukata huwezi. nimeona kuwa kwa wastani simu inaita sekunde 30-45.

Kuna namna ya kufupisha labda iite dk 5 au 10 hivi kisha imwambie "Hapatikani jaribu baadaye"?
Simu iite dk 5 au 10?!! Simu gani hiyo?
 
Habari wakuu sana,

Kuna zile simu unapigiwa lakini unakuwa hautaki kupoke au muda huo hauwezi kupokea kwa sababu mbalimbali.

Sasa zinaita muda mrefu inakuwa kero na kukata huwezi. nimeona kuwa kwa wastani simu inaita sekunde 30-45.

Kuna namna ya kufupisha labda iite dk 5 au 10 hivi kisha imwambie "Hapatikani jaribu baadaye"?
Kwa hyo mkuu sekunde 30-45 ni nyingi sana kuliko Dakika 5-10 ambazo unataka ziwe baada ya kufupisha?

kweli tozo ni ulevi
 
Back
Top Bottom