Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ukiwa unatumia hotspot kwenye komputer, net inakata ikiwa inaita. Hili lipo hata ukipunguza sauti.Ikiita, bonyeza kitufe cha kuongeza/kupunguza sauti. Hapo itaita kmyakmya
Habari wakuu sana,
Kuna zile simu unapigiwa lakini unakuwa hautaki kupoke au muda huo hauwezi kupokea kwa sababu mbalimbali.
Sasa zinaita muda mrefu inakuwa kero na kukata huwezi. nimeona kuwa kwa wastani simu inaita sekunde 30-45.
Kuna namna ya kufupisha labda iite dk 5 au 10 hivi kisha imwambie "Hapatikani jaribu baadaye"?
Nimekosea, iwe sekunde 5 au 10Yaani umesema wastani simu inaita sekunde 30-45 halafu unasema ifupishwe iite dk 5 au 10?realy?
Tupo mbonamtoa maada hajielewi. hivi kuna mazwazwa kama haya mpaka leo
Na wabongo walivyo wata piga simu mala 5 ata kama ana ona aipokelewiUkiwa unatumia hotspot kwenye komputer, net inakata ikiwa inaita. Hili lipo hata ukipunguza sauti.
Fafanua huo uzwazwa mkuumtoa maada hajielewi. hivi kuna mazwazwa kama haya mpaka leo
Simu iite dk 5 au 10?!! Simu gani hiyo?Habari wakuu sana,
Kuna zile simu unapigiwa lakini unakuwa hautaki kupoke au muda huo hauwezi kupokea kwa sababu mbalimbali.
Sasa zinaita muda mrefu inakuwa kero na kukata huwezi. nimeona kuwa kwa wastani simu inaita sekunde 30-45.
Kuna namna ya kufupisha labda iite dk 5 au 10 hivi kisha imwambie "Hapatikani jaribu baadaye"?
Kwa hyo mkuu sekunde 30-45 ni nyingi sana kuliko Dakika 5-10 ambazo unataka ziwe baada ya kufupisha?Habari wakuu sana,
Kuna zile simu unapigiwa lakini unakuwa hautaki kupoke au muda huo hauwezi kupokea kwa sababu mbalimbali.
Sasa zinaita muda mrefu inakuwa kero na kukata huwezi. nimeona kuwa kwa wastani simu inaita sekunde 30-45.
Kuna namna ya kufupisha labda iite dk 5 au 10 hivi kisha imwambie "Hapatikani jaribu baadaye"?