bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,334
- 2,463
Hivi vi Japani ni vijitu vya hovyo kwenye ulimwengu huu wa utandawazi. Nilikuwa nasikia juu juu kwamba ni vibaguzi ila nilikuwa siamini kwa sababu nikikosa ushahidi. Sasa kwa hiki walichofanya nimeamini pasipo shaka vijamaa havina roho kabisa, ndo maana vimenyimwa roho na matako.
Ishu Ni kwamba wameona watalii wanapiga sana picha mlima wao, Fuji sasa wameamua kuuziba ili tu watalii wasipige picha. Yaan roho zinawauma kichizi kuona watalii ambao wengi Ni wazungu wakiwa wanainjoi life Na wakijisnap pic na selfie.
Mlima wenyewe ni Huu
Pazia ambalo litaziba!
Hawa wajap kwa hili wametia fora kwa uchoyo, ata fahari ya machoo tuu wanabana.
Ugumu wao wa kuchanganya damu na watu wa mataifa mengine, umewafanya kuwaona wageni kama wameenda kuaribu ustaraabu wao, akili hizo zimewafanya miakaa na miakaa kuendelea kufananaa kama Uyoga.
Ishu Ni kwamba wameona watalii wanapiga sana picha mlima wao, Fuji sasa wameamua kuuziba ili tu watalii wasipige picha. Yaan roho zinawauma kichizi kuona watalii ambao wengi Ni wazungu wakiwa wanainjoi life Na wakijisnap pic na selfie.
Mlima wenyewe ni Huu
Hawa wajap kwa hili wametia fora kwa uchoyo, ata fahari ya machoo tuu wanabana.
Ugumu wao wa kuchanganya damu na watu wa mataifa mengine, umewafanya kuwaona wageni kama wameenda kuaribu ustaraabu wao, akili hizo zimewafanya miakaa na miakaa kuendelea kufananaa kama Uyoga.