Kuna nchi hawapendi kabisa wageni

Vimenyimwa roho halafu zinawauma tena!
 
Hivi vijamaa ni vipuuxi ssna. Ndio maana Marekani aliamua kuvipiga bomu na kuviharibu akili
 
Kuna mzee wangu aliendaga kule aligonga malay kwa laki saba
 
Ndio Mana uwezi mkuta mchnina nafnya Kaz na mjapan
 
I am afraid you are misinformed,

Issue ni kwamba Immigration policy ya Japan ipo strict since day 1, since 1940 huko wakati wa conflicts na South Korea,

Na ni kwamba ni ngumu kupata uraia wa Japan, hawana uraia nusu ni lazima mzazi wako mmoja awe mjapan, na hiyo ni asilia ya nchi zote za Visiwa, wanakua na asili ya u- nationalist

So it's not about religion it's about being Japanese,
 
Hao ndio wana akili, kujichanganya ndio imefanya Afrika imepoteza utamaduni wake kwa kuiga mila za kigeni hadi majina kwa kudanganywa eti ndio wataingia mbinguni. Bure kabisa.
 
Vimenyimwa kalio ila vikajaliwa akili nyingi sote ni mashahidi wa mavitu yanayotoka Japan. If it were your choice, what would you choose? Kalio au akili?
 
Mmhh mkuu kwa ubaguzi mie sidhani kama Japan wana ubaguzi.
Japan ni taifa pekee la ASILI CHINA lenye raia weusi.
Ukienda Korea,China,Singapore,Thailand,Vietnam hukuti raia mweusi ila Japan ni taifa pekee la asili hiyo lililowapa watu weusi tena wengi kutokea Afrika uraia.
Nenda Korea kaombe uraia kama utakubaliwa.
Pia Wajapan wapo wengi Zanzibar wanaishi poa wako friendly.
Mie nina ankal wangu kaoa Mjapan tena kamsilimisha wapo hapo Mbezi Makabe wamezaa watoto 6.
Sijaona ubaguzi wao aisee.
 
🀣 🀣🀣🀣

Alafu wanamiguno inafanana kama watoto wanalia
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΏβ€β™‚οΈDaaah bro muhuni sana wewe!
 
Japan inapokea watalii Mill 30 kwa mwaka,wengi kuliko watalii wa Afrika Mashariki na kati.
watalii ni wengi sana,kuna maeneo wamekuwa na kero zao
  • Wanatupa taka ovyo.
  • Kupiga picha kila kona,no privacy
  • Kutofuata sheria za barabarani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…