BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Majengo ya Biashara ubalozini ni aina ya upigaji hakuna kitu hapo, ni watu wanagawana 10% maisha yanaendelea.
Tuulizane Mataifa mengine yanashindwa kujenga majengo ya Vitega uchumi kwenye balozi zao?; Uwezo wanao ila hawafanyi hivyo kwa sababu sio malengo yao. Malengo yao ni kusaidia Raia wao.
Balozi zetu nyingi zinaongoza kwa kwa na wafanyakazi wenye nyodo sana, hawako kule kutafuta furusa wala kuwasaidua Watanzania. Sasa hii imewashinda now wanakuja na ujenzi wa Majengo, Hii ni matumizi mabaya sana ya pesa na washukuru tu kwamba wana raia wasio kuwa na uchungu na pesa zao.
Makamba kikubwa anacho target ni 10% yake haijalishi kama jengo litalipa au la hilo halimuhusu sana kikubwa alisha pata chake.
Sijajua anaye kuwa anapitisha idea za aina hii.
Na vipi siku uhusiano unavunjika? watauza hilo jengo au litataifushwa?
Kujenga offisi ya kawaida ni sawa ila kuanza kujenga magorofa ya Biashara sio sawa kabisa.
Tuulizane Mataifa mengine yanashindwa kujenga majengo ya Vitega uchumi kwenye balozi zao?; Uwezo wanao ila hawafanyi hivyo kwa sababu sio malengo yao. Malengo yao ni kusaidia Raia wao.
Balozi zetu nyingi zinaongoza kwa kwa na wafanyakazi wenye nyodo sana, hawako kule kutafuta furusa wala kuwasaidua Watanzania. Sasa hii imewashinda now wanakuja na ujenzi wa Majengo, Hii ni matumizi mabaya sana ya pesa na washukuru tu kwamba wana raia wasio kuwa na uchungu na pesa zao.
Makamba kikubwa anacho target ni 10% yake haijalishi kama jengo litalipa au la hilo halimuhusu sana kikubwa alisha pata chake.
Sijajua anaye kuwa anapitisha idea za aina hii.
Na vipi siku uhusiano unavunjika? watauza hilo jengo au litataifushwa?
Kujenga offisi ya kawaida ni sawa ila kuanza kujenga magorofa ya Biashara sio sawa kabisa.