Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

... wengi walioenda Russia hawajawahi kurudi binadamu kamili; wanarudigi nusu mtu, nusu debris.
Mbona wa kike hawawi walevi?? Nina Daktari wawili wa kike wamesoma Urusi 7+ years wamerudi hata pombe hawagusi.
 
Mbona wa kike hawawi walevi?? Nina Daktari wawili wa kike wamesoma Urusi 7+ years wamerudi hata pombe hawagusi.
Nami namjua dada amesoma computer engineering urusi hanywi pombe
 
Kuna huyu mwingine naye ni familia maana wengi kwenye ukoo wameenda canada. Now he is 45+ yan network haisomi kabisa, kula vitu vya tanzania hawezi ni biscut, ma cornflakes na vichocolate. Basi hapa ndio akaekwa kweny kampuni walau asikae tu ndani awe zombie kazi yake ni kufika asubuhi job na kulala mda wa lunch aende akale mbali na wafanyakazi wenzake sijui anahofia kulogwa au vipi au awe na vibiskuti akalie chooni, begi hashushi kamwe mgongoni yani mtihani tupu. Sasa sijui canada ndio imemuaharibu au kuna mikono ya watu
Zuu mtoto wa Kiarabu
 
Exposure kitu muhimu sana kwa watoto wetu. Mpe mwanao asilimia fulani ya uhuru hasa anapoanza kujitambua, hii itamjengea kuyajui mazuri na mabaya. Tabia za kulea watoto kishua sio nzuri kabisa. Mtoto hajui kufanya lolote la maana akiwa peke yake.

Nitawapa mfano.
Nilizaliwa mji karibia sana na Dar es Salaam. Nikasoma shule ya msingi huko. Lakini kuanzia form 1 maisha yangu yakawa Dar. Nikirudi likizo nakuwa Dar. Nimetanguliza hivi ili upate picha kwamba sijakulia vijijini kusema kwamba hakukuwa na social amenities. Mpaka nafika chuo, hustles zote nazijua....kupika, kufua, kuosha vyombo, kutwanga, kuchota maji mara nyingi nilitumia mkokoteni ulikuwepo home nafata maji kama mita 700 hivi toka home....maji yakiisha ndani basi ndo kazi yangu. Nimecheza chandimu pekupeku sana tu. In short maisha ya kiugumu nayajua.
Mimi nilikua exposed na uhuni kitambo sana, sema nilikua sijapata starting point.

Mimi nilikua sijawahi kunywa pombe, nilianza kunywa pombe nilipokuwa mwaka wa kwanza chuoni. Kisa nini? Si kingine ni marafiki. Ajabu ni kwamba nimesoma boarding za serikali form 1-6....huko kote sikuwa na marafiki wa hayo mambo. Basi hapo nikajua Gins, vodka, beer, brandy, whisky, wines na kila aina ya unywaji wa kulevya.

Nilikua sijawahi kuingia club, mara ya kwanza kuingia club nilikuwa nikiwa chuo kikuu.

Nilikuwa sijawahi kupiga one night stand....hii nimefanya nikiwa chuo kikuu.

Ni bangi tu ndio sijawahi kuvuta. Na ni kwa sababu kampani yangu yote hakukuwa na mtu hata 1 anakula bangi.

Lakini kwa sababu nilikua najitambua na najua nimetokea familia ya aina gani.....hayo yote hayakunifanya nitoke nje ya reli. Niligraduate na 3.7 GPA ni mtu 1 tu darasani kwetu aliyenizidi, sikuwahi hata kupata supplementary.

Leo hii ukiwaambia wanafamilia home kwamba nakunywa pombe wanakukatalia katu katu. Lakini washkaji, ma x zangu, wanajua napiga ulabu tena mzito. Hata mama mtoto wangu (wife to be bado kidogo sana) hajui kama napiga vyombo ingawa hachukii jambo hilo. Hatukai sote muda mwingi so hajajua hilo.

Mtoto wa kishua umpeleke USA na hapa bongo ulimlea kwa kumlimit, akifika huko akutane na Jorge Martin Vasquez, Alex McLeish, Vladimir Kubertiv, ambao wamelelewa kiulaya ulaya since childhood unatarajia nini?

Kuna mwana kasoma Cuba na USA anatuambia kule hadi Waarabu wanakula kitimoto. Ni ule uhuni unafanya mbali na home.
 
Kuna mshikaji amepanga juzi kati tu apa kaa miez mitatu ishapita ..nnapokaa Mimi Sasa tumeanza kuzoeana baada ya kuona life langu ..Basi akanifuata mzee kafunguka Yani hajui kitu Zaid ya kupika chai na kuchemsha mayai tu ..anakula vibandani umo ..Ni wale mamy am going to school..
Basi anataka nimfundishe angalau kupika ..nimempanga atafute angalau 150k. Sifanyi kazi za bure labda arudi kwa maza ake akamfundishe😂😂😂
Hii sikatai, kuna mwaka fulani mimi na bro tulikua tunafanya kazi sehem jirani tukapanga nyumba 1 tukawa tunaishi kisela. Kuna jamaa 1 alipata kazi mkoa tuliopo akaja kuanza kazi basi tukampokea na kukaa naye geto....jamaa alikua hajui kupika chochote. Kuna Saturday 1 nimerudi job mchana nimekuta jamaa kaforce kupika ugali, kumbe ni uji mzito una mabonge bonge kibao nilishindwa kula. Nikapika ugali chap akashangaa mbona nimepika fasta....nikamwambia ni gesi hiyo.

Kuna times mdogo wake alikuja wa kiume yule naye alikua hivyo hivyo. Kumbe kwao kuna housegirls 2.....yaani dogo hajui chochote ni mzembe balaa halafu eti anasoma diploma.
 
nchi pekee unaweza peleka mtoto asia ni japan na china, na huko wanaenda ili kufamilialize mazingira ya kibiashara tu. nje na biashara zako, kuna ubaguzi mwingi na ujinga mwingi. hata hivyo, ujinga huo hautafikia USA, ambako mtoto anaweza kurudi shoga. canada ni nchi nzuri sana kusoma, pamoja na UK.
 
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
Hqta ulichoelezea hakieleweki mambo ya ajabu yepi?? Mbpna hata hapa watoto wanaacha chuo wazazi mikoani wanalalamika watoto zao wakija dar hawasomi,huyo mtoto wako anayeacha chuo marekani elewa hakua na muamko wa kusoma au hana akili wala muamko unamfosi tu kuna watoto wanajitafutia scholarship au wanajisomesha wenyewe nchi hizohizo na wanagraduate bila kushikiwa bango na wazazi
 
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
Una uhakika? Na mabinti wa kike mtu na nduguye, baba yao nafahamiana naye, wamesoma US hadi degree ya pili wamerudi nyumbani.Usifanye generalization tafadhali.
 
Mafanikio MO
Yupo dogo mmoja anaendesha clearing & forwarding kibingwa sasa. Na wana meli ndogo zinazo shuttle mizigo Dar Zanzibar!
Yupo communications manager Fulani alikuwa migodini sasa yupo kwenye mafuta!
Yupo Waziri wa Stima!
Wapo watu Gates foundation!
Wapo wengi balozi nyingi Tu!

Mafanikio yapo! Ila ukimuangalia Le Mutuz, hupeleki mtoto nje!
[emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wanaopeleka mitoto yao Nje wengi ni mabosi wanadhulumu watu wao wa chini pesa ni mafisadi wakubwa ndio maana mitoto yao ikifika huko mingi Ni laana tupu!! Wengi wanaangukia pua hawasemi tuuu,mitoto mingine ya kiume Inaolewa hukohuko.
 
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
Malaysia ndio useseme kabisa. Kila Binti aliyepelekwa kule aligeuka muuzaji wa huduma ya maili
 
Back
Top Bottom