Emory Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 478
- 572
Hapana mkuu mimi sio mchina,ila nipo Guangzhou China 8+ yearsWewe ni mchina bila shaka
Kwa wenye pesa hata english course kwenda kusoma nje sio tatizoYan Business Management unaenda kusoma nje ya nchi, hii ni wastage of resources.
Mbona wa kike hawawi walevi?? Nina Daktari wawili wa kike wamesoma Urusi 7+ years wamerudi hata pombe hawagusi.... wengi walioenda Russia hawajawahi kurudi binadamu kamili; wanarudigi nusu mtu, nusu debris.
Nami namjua dada amesoma computer engineering urusi hanywi pombeMbona wa kike hawawi walevi?? Nina Daktari wawili wa kike wamesoma Urusi 7+ years wamerudi hata pombe hawagusi.
Amin.Allah akujaalie kila lililo la kheri Sheikh umenena yaliyo ya Kweli kabsa ,.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Zuu mtoto wa KiarabuKuna huyu mwingine naye ni familia maana wengi kwenye ukoo wameenda canada. Now he is 45+ yan network haisomi kabisa, kula vitu vya tanzania hawezi ni biscut, ma cornflakes na vichocolate. Basi hapa ndio akaekwa kweny kampuni walau asikae tu ndani awe zombie kazi yake ni kufika asubuhi job na kulala mda wa lunch aende akale mbali na wafanyakazi wenzake sijui anahofia kulogwa au vipi au awe na vibiskuti akalie chooni, begi hashushi kamwe mgongoni yani mtihani tupu. Sasa sijui canada ndio imemuaharibu au kuna mikono ya watu
Hii sikatai, kuna mwaka fulani mimi na bro tulikua tunafanya kazi sehem jirani tukapanga nyumba 1 tukawa tunaishi kisela. Kuna jamaa 1 alipata kazi mkoa tuliopo akaja kuanza kazi basi tukampokea na kukaa naye geto....jamaa alikua hajui kupika chochote. Kuna Saturday 1 nimerudi job mchana nimekuta jamaa kaforce kupika ugali, kumbe ni uji mzito una mabonge bonge kibao nilishindwa kula. Nikapika ugali chap akashangaa mbona nimepika fasta....nikamwambia ni gesi hiyo.Kuna mshikaji amepanga juzi kati tu apa kaa miez mitatu ishapita ..nnapokaa Mimi Sasa tumeanza kuzoeana baada ya kuona life langu ..Basi akanifuata mzee kafunguka Yani hajui kitu Zaid ya kupika chai na kuchemsha mayai tu ..anakula vibandani umo ..Ni wale mamy am going to school..
Basi anataka nimfundishe angalau kupika ..nimempanga atafute angalau 150k. Sifanyi kazi za bure labda arudi kwa maza ake akamfundisheπππ
Hakuna kuchezea fursa kabisaππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
Wewe mzee umeshapiga Masters, unaanza kutuona hatufaiWabaki tu hapa kwenye Maprofesa vitini tupiganie majibu sahih na GPA kubwa na Elimu isiyo msaadaπππ
Sociology...Yan Business Management unaenda kusoma nje ya nchi, hii ni wastage of resources.
Ila Ndimbo alikua noma sana yule Mzee!Pale form 2 nakmbk nlifukuzwa
Enzi za kina mwalimu ndimbo,kasebele,headmaster makande,mwalm kabigi
Longtime yaani
Ova
Mr.Bukuku..Kweli we ni wa long ndimbo nimemkuta ila headmaster alikuwa bukuku
Hqta ulichoelezea hakieleweki mambo ya ajabu yepi?? Mbpna hata hapa watoto wanaacha chuo wazazi mikoani wanalalamika watoto zao wakija dar hawasomi,huyo mtoto wako anayeacha chuo marekani elewa hakua na muamko wa kusoma au hana akili wala muamko unamfosi tu kuna watoto wanajitafutia scholarship au wanajisomesha wenyewe nchi hizohizo na wanagraduate bila kushikiwa bango na wazaziJamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.
Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.
Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.
Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.
asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.
Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.
Tunajadili na kutoa ushuuda
πππποΈhajacheza mbali, bodaboda si inatumia petrol.
Una uhakika? Na mabinti wa kike mtu na nduguye, baba yao nafahamiana naye, wamesoma US hadi degree ya pili wamerudi nyumbani.Usifanye generalization tafadhali.Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.
Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.
Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.
Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.
asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.
Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.
Tunajadili na kutoa ushuuda
[emoji38][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mafanikio MO
Yupo dogo mmoja anaendesha clearing & forwarding kibingwa sasa. Na wana meli ndogo zinazo shuttle mizigo Dar Zanzibar!
Yupo communications manager Fulani alikuwa migodini sasa yupo kwenye mafuta!
Yupo Waziri wa Stima!
Wapo watu Gates foundation!
Wapo wengi balozi nyingi Tu!
Mafanikio yapo! Ila ukimuangalia Le Mutuz, hupeleki mtoto nje!
Malaysia ndio useseme kabisa. Kila Binti aliyepelekwa kule aligeuka muuzaji wa huduma ya mailiJamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.
Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.
Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.
Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.
asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.
Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.
Tunajadili na kutoa ushuuda