Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

Wewe huwezi kunifunza jambo lolote kuhusu mambo ya uchumi. Eti sasa unanifunza tofauti kati ya Gdp na Gdp per capita, jambo ambalo tunasoma tukiwa first year kwa course la macroeconomics. Tuliza nyege dogo, hujui mengi duniani.
Sidhani kama hata upande wa per capita Abidjan imeishinda Nairobi
 
Abidjan ni mji mkuu wa nchi ya Ivory Coast na pia mji kubwa zaidi nchini humo. Abidjan is also known as the Paris of Africa ,
Abidjanis the biggest and most important city of Cote d'Ivoire. With a population of around 4,000,000 people, it is the second largest city in West Africa after Lagos and has historically been the economic power base of the region.

Following the death of long term president-for-life Felix Houphouët Boigny in 1993, the fortunes for Abidjan changed a great deal and successive coups d'etats in Cote d'Ivoire caused a massive exodus of the foreigners living there. Today, despite the current political issues in Cote d'Ivoire at large, Abidjan remains the economic and de facto capital of the country. Even after everything that's happened, it still boasts a large selection of restaurants, hotels, sites, and other reasons to visit.

Abidjan it is by far West Africa’s most developed city , you can see more bout the city below ...

Corona imekutoa kamasi hadi kichwa kimebaki empty!!!.... Sasa mpaka unataka kutuponda na mji wetu wenyewe?
tapatalk_1590994391329.jpg
tapatalk_1590994410575.jpg
 
GDP per capita is an important indicator of economic performance and a useful unit to make comparisons of average living standards and economic wellbeing.

Gdp per capital ni muhimu, mfano mwengine umepewa na mdau hapo kuhusu Luanda ipo na Gdp ndogo kuliko Nairobi but ki uhalisia mji ambao uko vizuri kiuchumi ni Luanda. Watu wa Luanda wako na maisha mazuri kuliko Nairobi kwa wastani.
Hapana Luanda ipo juu in terms of GDP
 
Wewe hunijui shida yako ni gani? Nani hajui Gdp per capita ndio njia bora zaidi kushinda Gdp kwa kupima level of economic development and human development. Ila hata hio Gdp per capita unayoringa nayo sana pia ina mapungufu yake ikiwemo kutoweza kutake into account the poor people in society. Kwa mfano USA ina Gdp per capita kubwa sana, zaidi ya $40,000 ila ukitegemea kujua level ya unasikini na kujua watu wangapi ni masikini USA basi Gdp per capita haitakueleza hayo. Utajidanganya kuwa USA kila mtu anapata kipato cha zaidi ya $40,000 au $50,000 basi utashangaa kujua kuwa kuna watu masikini wakutupwa huko. Gdp per capita ni average cha mapato cha kila mtu katika nchi fulani. Ukitaka kujua kuhusu standard of living basi utatumia kigezo cha "human development index" yaani HDI. Ukitaka kujua level of income inequality basi utatumia kigezo cha Gini coefficient. US ina Gini coefficient kubwa kumaanisha watu wachache wanamiliki mali mengi na watu wengi katika nchi hiyo wanamiliki mali kidogo. Kwa hivyo usije hapa kuringa na Gdp per capita uliojifunza jana kwa sababu hio ina mapungufu yake na wachumi waliobobea wanatumia vigezo vingine kujua hali halisi katika uchumi fulani. Rudi tena useme mimi sio mchumi. Shenzi type.

Usiniletee maelezo meengi, hukuulizwa chochote kati ya hivyo! Hii ni kuonesha jinsi gani ulivyo mweupe kichwani, mtu makini anajibu 'short & clear'. Wacha nikurudishe kwenye msingi wa swali, usijidai kujisahaulisha.
Baba Mandigo Sr kaweka bandiko, ukaja na kimbelembele chako kama ilivyo ada na kusema "Abidjan ni mtoto sana kwa Nairobi. Hata Dar imeishinda kwa maendeleo". Jamaa Baba Mandigo Sr akaweka takwimu kuwa "Abidjan city has a GDP per capital of 2300$". Hapo ndiyo ukaja kutoa uharo wako kuwa "Gdp ya Abidjan ni ngapi? Wachana na mambo ya per capita kwanza". Huu ndiyo uharo wako mchumi, mwalimu wako alikufundisha uipinge GDP per capita na kuidai GDP katika kufanya comparison. Sasa umekwenda "google" na kujiona ulivyo lofa! Siku nyingine uwe unafanya "homework" kwanza!
 
Amekosa hoja, Nyangau huyo.

Ni mweupe kichwani huyu kuliko maelezo. Kazi yake kukimbilia "google" tu. Na wengi wao wako hivyo (binafsi nawafahamu vizuri tu), wanadhani kile kiingereza walichoachiwa na Muingereza ndiyo kujua vitu, ila ukiwa umepata nafasi ya kukaa nao utaona walivyo hewa kichwani.
 
Usiniletee maelezo meengi, hukuulizwa chochote kati ya hivyo! Hii ni kuonesha jinsi gani ulivyo mweupe kichwani, mtu makini anajibu 'short & clear'. Wacha nikurudishe kwenye msingi wa swali, usijidai kujisahaulisha.
Baba Mandigo Sr kaweka bandiko, ukaja na kimbelembele chako kama ilivyo ada na kusema "Abidjan ni mtoto sana kwa Nairobi. Hata Dar imeishinda kwa maendeleo". Jamaa Baba Mandigo Sr akaweka takwimu kuwa "Abidjan city has a GDP per capital of 2300$". Hapo ndiyo ukaja kutoa uharo wako kuwa "Gdp ya Abidjan ni ngapi? Wachana na mambo ya per capita kwanza". Huu ndiyo uharo wako mchumi, mwalimu wako alikufundisha uipinge GDP per capita na kuidai GDP katika kufanya comparison. Sasa umekwenda "google" na kujiona ulivyo lofa! Siku nyingine uwe unafanya "homework" kwanza!
Mambo niliyoyaandika hata huwezi kuyaelewa japo nimeyaandika kwa kiswahili. Kama ningeyaandika kwa kiingereza ndio ungechemsha kabisa. Haya ni mambo rahisi sana hakuna haja ya kugoogle. Sisi economists huwa tunadeal na mahesabu na magraph za kutisha. Usidhani kuwa economics ni theory ambayo nimeandika hapo tu. Mimi sikuanguka hesabu kama wewe shuleni.
 
Ni mweupe kichwani huyu kuliko maelezo. Kazi yake kukimbilia "google" tu. Na wengi wao wako hivyo (binafsi nawafahamu vizuri tu), wanadhani kile kiingereza walichoachiwa na Muingereza ndiyo kujua vitu, ila ukiwa umepata nafasi ya kukaa nao utaona walivyo hewa kichwani.
Kama wewe umesoma economics undergraduate au masters basi nieleze forward linkage na backward linkage ni nini? Pia nieleze jinsi ya kucalculate gross national income. Kama hujui basi nyamaza, tafuta rika yako wa kugombana naye.
 
Ni mweupe kichwani huyu kuliko maelezo. Kazi yake kukimbilia "google" tu. Na wengi wao wako hivyo (binafsi nawafahamu vizuri tu), wanadhani kile kiingereza walichoachiwa na Muingereza ndiyo kujua vitu, ila ukiwa umepata nafasi ya kukaa nao utaona walivyo hewa kichwani.
Haha, umemaliza kila kitu mkuu. Ndo kawaida yao kujisifia uwezo wa kuongea kiingereza
 
Kenya tuko vizuri kuzidi mataifa yote ukanda huu na lazima tuwakumbushie hili kila siku, msiotaka kuskia acheni kusoma taarifa za Kenya mtapata amani.
Mwaka haujaisha bado wewe subiri tu kama nilivyo sema huu mwaka ni mbaya sana tena sana kwa Kenya tayari KQ imeshakufa rasmi kama nilivyo sema kq inakufa huu mwaka sgr imesha kufa mchina kajua ni project ya hasara ila bahati ni kwamba hasara ni yawakenya mfumo Wa elimu tz vs Kenya Tanzania tunazidi kuitupa Kenya nje ya box miaka ya nyuma watz wengi walitegemia elimu bora kutoka Kenya sikuizi mambo ni tofauti Watoto wetu wengi wanasoma hapa hapa sababu ni IQ ya watanzania ni kubwa kuliko nchi zote hapa EAC
Uganda ilipo tuchokoza tuliipiga vita kisheshi
Na sasa Kenya imetuchokoza na kutaka vita ya kiuchumi na sisi pia tunaipiga kila mwenye akili anaona waziwazi nikipigo gani Kenya itakipata kutoka tz ni "KO"
 
Unaongelesha mwanauchumi sawa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hajuangi wewe ni mwana uchumi hata mimi nimetii,vile unasemanga ukionanga mavii ya muzee ya kizungu kwako unakua umeonanga Pesa !! Ila sasa chali yangu ya naii mimi nina swali kwanini wakeii wana watawaza wazungu ila wenyewe amji tawazi mnatoka chooni na kinyesi hadi kinaunguza mapaja mfano utakuta manzi Mrembo Kenya ila sehemu za siri zimeungua kwa kinyesi kweusi tofauti na rangi ya sehemu zingine
 
Hehehe!! Hongereni ila haya mavitu yalishatuchosha, sisi kwetu hapa yapo hadi mikoani wacha nyie ndio mumepata ya kwanza Dar mnataka kuangusha server za JF kwa misifa.
Ukipata kunionesha 3level interchange kenya nafunga accnt jf
 
Ukipata kunionesha 3level interchange kenya nafunga accnt jf

Kwaheri ihame JF, tuliwaambia nyie hamjafikia hata kwenye level ya kunusia makalio yetu, haya mavitu yamajezana huku tumeyachoka mpaka tumeyapeleka mikoani.

Pangani Interchange - Wikimapia
This comprises of a three-level road interchange comprising of an overpass from pangani towards Forest road, and a tunnel from Thika road, crossing over to surface again on Muranga road, and branching midway to surface also on Forest road. Service lanes are on ground level serving multi-directional roads.




li1Fh.jpg
 
Kwaheri ihame JF, tuliwaambia nyie hamjafikia hata kwenye level ya kunusia makalio yetu, haya mavitu yamajezana huku tumeyachoka mpaka tumeyapeleka mikoani.

Pangani Interchange - Wikimapia
This comprises of a three-level road interchange comprising of an overpass from pangani towards Forest road, and a tunnel from Thika road, crossing over to surface again on Muranga road, and branching midway to surface also on Forest road. Service lanes are on ground level serving multi-directional roads.




li1Fh.jpg
Do you know the meaning of 3level? Unaumwa ww [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom