Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

Sorry lady, I didn't quote u.
why are you so bitter man...reduce the amount of bile.It might choke you.Anyway congrats for the first flyover in dar but we have many flyovers and interchanges in Nai,some in mombasa,nakuru and eldoret hata ukambani zina jengwa,so kua mpole na ufurahie maendeleo mko nayo
 
Kafie mbele kwenye slums zenu uko mathare
ukweli haujui kupinda pinda,nikafie mbele au kwenye slum au kwenye mansion ukweli ndio huo,hakuna sababu ya kelele ni kujiabisha maana nchi ndogo kama nilivyotaja hapo juu zina hizo structures long time kitambo sasa kusumbu a kwa kelele ni kujiabisha
 
Mambo niliyoyaandika hata huwezi kuyaelewa japo nimeyaandika kwa kiswahili. Kama ningeyaandika kwa kiingereza ndio ungechemsha kabisa. Haya ni mambo rahisi sana hakuna haja ya kugoogle. Sisi economists huwa tunadeal na mahesabu na magraph za kutisha. Usidhani kuwa economics ni theory ambayo nimeandika hapo tu. Mimi sikuanguka hesabu kama wewe shuleni.

Sio kuyaelewa, wala sikuwa na shida ya kuyasoma maana katika sentensi yako ya mwanzo kabisa ulishatoa jibu nililokuuliza. Na sababu ya kukuuliza nimeiweka wazi (ni jibu lako la kutotaka GDP per capita iliyotajwa na Mdau na kuidai GDP). Hayo mengine uliyoendelea kuandika ni kukatakata viuno (kujichekeshachekesha na vitu visivyo kwenye hoja)! Wewe ni mweupe na nina shaka hata huko chuo kwenyewe unakusikia tu!
 
why are you so bitter man...reduce the amount of bile.It might choke you.Anyway congrats for the first flyover in dar but we have many flyovers and interchanges in Nai,some in mombasa,nakuru and eldoret hata ukambani zina jengwa,so kua mpole na ufurahie maendeleo mko nayo
Acha dharau, yn kumpa cfa yake ya u lady ww unaona ni matusi, hv kwnn Wakenya mnadharau sn mwanamke?
 
ukweli haujui kupinda pinda,nikafie mbele au kwenye slum au kwenye mansion ukweli ndio huo,hakuna sababu ya kelele ni kujiabisha maana nchi ndogo kama nilivyotaja hapo juu zina hizo structures long time kitambo sasa kusumbu a kwa kelele ni kujiabisha
Ukweli upi, mbn unaongea km mtu aliyekata tamaa hvyo, haya ongea huo ukweli nikuelewe ss.
 
Kama wewe umesoma economics undergraduate au masters basi nieleze forward linkage na backward linkage ni nini? Pia nieleze jinsi ya kucalculate gross national income. Kama hujui basi nyamaza, tafuta rika yako wa kugombana naye.
Mimi sijasoma hata kidogo, lakini ninaweza kutofautisha GDP na GDP per capita. Na natambua ipi ni "best measure" ninapotakiwa kuchagua ya kufanyia "comparison" baina ya nchi/sehemu zaidi ya moja. Wewe mwenye Masters na kujua mahesabu magumu ulishindwa hili hadi ulipoenda kuuliza "google"
 
Mimi sijasoma hata kidogo, lakini ninaweza kutofautisha GDP na GDP per capita. Na natambua ipi ni "best measure" ninapotakiwa kuchagua ya kufanyia "comparison" baina ya nchi/sehemu zaidi ya moja. Wewe mwenye Masters na kujua mahesabu magumu ulishindwa hili hadi ulipoenda kuuliza "google"
Kama hujasoma hata kidogo mbona unapingana na mwenye amesoma?
 
why are you so bitter man...reduce the amount of bile.It might choke you.Anyway congrats for the first flyover in dar but we have many flyovers and interchanges in Nai,some in mombasa,nakuru and eldoret hata ukambani zina jengwa,so kua mpole na ufurahie maendeleo mko nayo
Show them flyovers..you have nothing compared to what we have
 
Back
Top Bottom