Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

Hizo kwako ndio takwimu?

What a loss!

Nasemea takwimu za reputable institutions kama WB,IMF,McKinsey,etc zikisemea key economic indicators kama uzalishaji na human wellness indicators,innovation,finances,etc sio huu upumbavu eti wa magorofa 20 na mavi mengine!

Be serious wewe!
 
Pia wako na metro railway project iko katika hatua za mwisho. Abidjan is the most developed city in West Africa.
 
yeah wapo vizuri sana.
Nimeona aisee, anayeendelea kubisha we mwache abishe lkn ukweli wapo vzr, unajua waafrika wengi wamepumbazwa na uchumi wa kwenye makaratasi na co uchumi halisi unaolenga maendeleo ya moja kwa moja kwa mwananchi.
 
Hizo kwako ndio takwimu?

What a loss!

Nasemea takwimu za reputable institutions kama WB,IMF,McKinsey,etc zikisemea key economic indicators kama uzalishaji na human wellness indicators,innovation,finances,etc sio huu upumbavu eti wa magorofa 20 na mavi mengine!

Be serious wewe!
Abidjan ina average GDP growth ya 10% na 8.9% ni overall growth ya Ivory Coast. I think imepitwa na China tu , It is one of the few countries in Africa which her exports exceed her imports. Inflation rate 0.8%, unemployment rate 3%, external debt ratio -GDP 38%, Foreign Reserves 8 Billion $.
 
Abidjan ina average GDP growth ya 10% na 8.9% ni overall growth ya Ivory Coast. I think imepitwa na China tu , It is one of the few countries in Africa which her exports exceed her imports. Inflation rate 0.8%, unemployment rate 3%, external debt ratio -GDP 38%, Foreign Reserves 8 Billion $.
Namba ulizotoa ni za kijinga tu

Na still ni poor zaidi ya the bonafide poor Tanzania

Nchi yeyote iliyopo kwenye same poverty bracket na Tanzania ni shithole,sio nchi ni mavi!

It is shame tupo hapa tuna discuss nchi za kipumbavu ambazo hatuwezi iga chochote kwa maendeleo maana ni masikini na unfunctional

At least niwekee nchi serious kama Ghana,Kenya,South Africa,etc...na extreme nipe Singapore,USA,Taiwan,etc..sio some stupid shithole country kama Ivory Coast inayotawaliwa na madikteta since Uhuru
 
Namba ulizotoa ni za kijinga tu

Na still ni poor zaidi ya the bonafide poor Tanzania

Nchi yeyote iliyopo kwenye same poverty bracket na Tanzania ni shithole,sio nchi ni mavi!

It is shame tupo hapa tuna discuss nchi za kipumbavu ambazo hatuwezi iga chochote kwa maendeleo maana ni masikini na unfunctional

At least niwekee nchi serious kama Ghana,Kenya,South Africa,etc...na extreme nipe Singapore,USA,Taiwan,etc..sio some stupid shithole country kama Ivory Coast inayotawaliwa na madikteta since Uhuru
Okay.
 
Abidjan ina average GDP growth ya 10% na 8.9% ni overall growth ya Ivory Coast. I think imepitwa na China tu , It is one of the few countries in Africa which her exports exceed her imports. Inflation rate 0.8%, unemployment rate 3%, external debt ratio -GDP 38%, Foreign Reserves 8 Billion $.
They are also world’s largest producer of Cocoa and Raw cashew nuts.
 
Abidjan ni mji mkuu wa nchi ya Ivory Coast na pia mji kubwa zaidi nchini humo. Abidjan is also known as the Paris of Africa ,
Abidjanis the biggest and most important city of Cote d'Ivoire. With a population of around 4,000,000 people, it is the second largest city in West Africa after Lagos and has historically been the economic power base of the region.

Following the death of long term president-for-life Felix Houphouët Boigny in 1993, the fortunes for Abidjan changed a great deal and successive coups d'etats in Cote d'Ivoire caused a massive exodus of the foreigners living there. Today, despite the current political issues in Cote d'Ivoire at large, Abidjan remains the economic and de facto capital of the country. Even after everything that's happened, it still boasts a large selection of restaurants, hotels, sites, and other reasons to visit.

Abidjan it is by far West Africa’s most developed city , you can see more bout the city below ...

Unajua Ivory Coast kwa wakati fulani, Zimbabwe kwa wakati fulani walikuwa wanakimbiza Africa, ila leo Kenya ndio nchi inayoonekana kabisa kuwa kwenye Runway wanajiandaa kupaaa
 
Unajua Ivory Coast kwa wakati fulani, Zimbabwe kwa wakati fulani walikuwa wanakimbiza Africa, ila leo Kenya ndio nchi inayoonekana kabisa kuwa kwenye Runway wanajiandaa kupaaa
Hamna kitu hao Nyangau..
 
Muungwana akivuliwa nguo huchutama. Badala ya kujibu hoja iliyokushinda ya ipi (kati ya GDP na GDP per capita) ni sahihi zaidi kutumika kwenye kulinganisha uchumi wa maeneo mawili umekurupuka na matusi. Anyway, hunishangazi, kutukana ni tabia ya Wakenya. Hadi hapo umejijibu mwenyewe kuwa ulienda kusoma shuleni na hukuelimika. Nampa pole mtu na akili zake katupa ada kwa ajili yako.
Mwana,Kwa hiyo kuwaita wenzio nyangau eti ndiyo uugwana huo?.....basi naye ni kalb hayawan tu.
 
Ikiwa Wyatt ni mpumbavu,weye utakua mara 100 zaidi ya mpumbav......kalbou.
Tatizo ww dada huwa na hisia km unapigwa mkuyenge, huwa unajibu kwa hisia mno nahisi ww utakuwa unajuwa kupenda ww cz una hisia sn [emoji3][emoji3]
 
Namba ulizotoa ni za kijinga tu

Na still ni poor zaidi ya the bonafide poor Tanzania

Nchi yeyote iliyopo kwenye same poverty bracket na Tanzania ni shithole,sio nchi ni mavi!

It is shame tupo hapa tuna discuss nchi za kipumbavu ambazo hatuwezi iga chochote kwa maendeleo maana ni masikini na unfunctional

At least niwekee nchi serious kama Ghana,Kenya,South Africa,etc...na extreme nipe Singapore,USA,Taiwan,etc..sio some stupid shithole country kama Ivory Coast inayotawaliwa na madikteta since Uhuru
Eti sio nchi ni mavi. [emoji38][emoji38][emoji38]
 
"kuna nchi zipo vizuri" ....NA TANZANIA SIYO MOJAWAPO YA NCHI HIZO....
tunaweza kuendelea kupiga kelele zetu sasa ?
 
Hivi Abidjan kuna tram??
Wanayo
F0678350-2C9B-4BD2-AFFC-85549B347FB5.jpeg

07BCF3EB-4C4F-47E9-BC5B-2F68635D99D2.jpeg
 
Back
Top Bottom