Kuna nguvu gani muda wa asubuhi? Ni kama ndio inaamua siku yako nzima itakuwaje

Kuna nguvu gani muda wa asubuhi? Ni kama ndio inaamua siku yako nzima itakuwaje

Miss_Mariaah

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
2,176
Reaction score
4,979
Habari za mchana wakuu.

Kama thread inavyojieleza hapo juu kwanini kama ukikwazika asubuhi basi siku yako nzima utashinda vibaya na mihasira yani siku itakuwa mbaya kweli.

Leo asubuhi kabisa kuingia tu ofisini nimekutana na incidence kutoka Kwa staff mwenzangu, nilikwazika na kuumia sana.

Sasa tangu muda huo mpaka sasa moyoni nina jazba siku yangu imekuwa mbaya😞😞😞.

Na nyie inawakutaga hii au ni mimi tu ndo na-expirience hii?
 
Kuna nguvu kubwa kwenye asubuhi, hivyo ukitaka siku yako iwe njema anza kuiamuru asubuhi iwe vile unayotaka wewe. (Command the morning)
Ayubu 38:12-13
[12]Je! Umeiamuru asubuhi tangu siku zako zilipoanza?
Umeyajulisha mapambazuko mahali pake?

[13]Yapate kuishika miisho ya nchi,
Waovu wakung’utwe wakawe mbali nayo?
 
Kuna nguvu kubwa kwenye asubuhi, hivyo ukitaka siku yako iwe njema anza kuiamuru asubuhi iwe vile unayotaka wewe. (Command the morning)
Ayubu 38:12-13
[12]Je! Umeiamuru asubuhi tangu siku zako zilipoanza?
Umeyajulisha mapambazuko mahali pake?

[13]Yapate kuishika miisho ya nchi,
Waovu wakung’utwe wakawe mbali nayo?
Ahsante Mkuu
 
Back
Top Bottom