Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio Taarifa yao iliyozagaa kote duniani iliyonifanya niulize kulikoni?
Kama kuna anayejua kitakachojiri atueleweshe.
Kama kuna anayejua kitakachojiri atueleweshe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jahazi linazamaHii ndio Taarifa yao iliyozagaa kote duniani iliyonifanya niulize kulikoni?
View attachment 3244006
Kama kuna anayejua kitakachojiri atueleweshe.
Wacha weeee!!Jahazi linazama
Ila machawa mna kazi sanaBahari sasa imetulia hakuna tena mawimbi
Wewe ndio chawaIla machawa mna kazi sana
Afya ya akiliHii ndio Taarifa yao iliyozagaa kote duniani iliyonifanya niulize kulikoni?
View attachment 3244006
Kama kuna anayejua kitakachojiri atueleweshe.
wanatapatapa baharini mweneykiti mambo yamemshinda anamkumbuka mbowe laini ameshachelewa maana alimtukana sanaHii ndio Taarifa yao iliyozagaa kote duniani iliyonifanya niulize kulikoni?
View attachment 3244006
Kama kuna anayejua kitakachojiri atueleweshe.
Licha ya upepo mkali na mawimbi, Nahodha wa Chadema Tundu Antipas Lissu yuko makini kuhakikisha meli inatia nanga.Nahodha Tundu Antipas Lissu ataifikisha meli mpaka kwenye nchi ya ahadi,nchi iliyojaa maziwa na asali.Hii ndio Taarifa yao iliyozagaa kote duniani iliyonifanya niulize kulikoni?
View attachment 3244006
Kama kuna anayejua kitakachojiri atueleweshe.
Hakika
CHADEMA kwa ubunifu hawajambo
Watu wanatafutana huko ujue😂Hii ndio Taarifa yao iliyozagaa kote duniani iliyonifanya niulize kulikoni?
View attachment 3244006
Kama kuna anayejua kitakachojiri atueleweshe.
Unayo macho?Hayo matangazo ndio naona kwako hapa hayo unayosema yameenea Dunia unazungumzia Dunia gani?
Nishawaona wanavyohangaika yaani!Watu wanatafutana huko ujue😂