Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mbona ni shilingi 98 na shilingi 110Tanzania tunashukuru Mungu kwa kuingia uchumi wa kati mpaka sasa gunia la viazi wanauza kuanzia 98.000 hadi 110.000
Tatizo ni uzalishaji mdogo kila mtu kawa machinga au tatizo ni madalali kujipangia bei zao wenyewe?
Nukta kwenye namba(tarakimu) inakuwa ni desimali endapo kuna tarakimu zisizozidi mbili baada yake(upande wa kulia wa nukta), na kama kuna kuwa na tarakimu tatu basi hiyo nukta inachukuliwa kama mkato na hivyo basi hiyo 98.000 ni elfu tisini na nane na hiyo 110.000 ni laki moja na kumi elfu.Hiyo mbona ni shilingi 98 na shilingi 110
Au ulimaanisha 98,000 na 110,000 nasi 98.000 na 110.000
Wewe! Acha upotoshaji hapa si French speaking countryNukta kwenye namba(tarakimu) inakuwa ni desimali endapo kuna tarakimu zisizozidi mbili baada yake(upande wa kulia wa nukta), na kama kuna kuwa na tarakimu tatu basi hiyo nukta inachukuliwa kama mkato na hivyo basi hiyo 98.000 ni elfu tisini na nane na hiyo 110.000 ni laki moja na kumi elfu.
sijabadili ukweli kuwa sisi ni nchi inayozungumza kiingereza.Nukta kwenye namba(tarakimu) inakuwa ni desimali endapo kuna tarakimu zisizozidi mbili baada yake(upande wa kulia wa nukta), na kama kuna kuwa na tarakimu tatu basi hiyo nukta inachukuliwa kama mkato na hivyo basi hiyo 98.000 ni elfu tisini na nane na hiyo 110.000 ni laki moja na kumi elfu.
Viazi gani...?Tanzania tunashukuru Mungu kwa kuingia uchumi wa kati mpaka sasa gunia la viazi wanauza kuanzia 98.000 hadi 110.000
Tatizo ni uzalishaji mdogo kila mtu kawa machinga au tatizo ni madalali kujipangia bei zao wenyewe?