VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,900
- 581
jamani leo nimeona nijisalimishe hapa kwenu jamii labda nitapata maarifa.
mke wangu ana msifia sana mdogo wangu wa kiume, yaani kuna wakati hata hakuna umuhimu wa hizo sifa lakini yeye anamwaga tu sifa kwa bwana mdogo!!!!!!
nimefanya utafiti sijagundua kitu chochote, mimi nampenda sana mdogo wangu nashindwa kumuondoa hapa nyumbani kwa kutumia hisia tu kwamba yawezekana kuna kitu kati yake na mama watoto au mama watoto ana kitu kichwani?
mahusiano yetu yako sawa tu, sijagundua kasoro, lakini sifa na maongezi muda wote kuhusu bwana mdogo sasa yanaanza kunipa ishara mbaya kichwani mwangu
naombeni maarifa sitaka kuchemka nawajali na kuwapenda wote, mmoja kama mke na mwengine kama ndugu
mke wangu ana msifia sana mdogo wangu wa kiume, yaani kuna wakati hata hakuna umuhimu wa hizo sifa lakini yeye anamwaga tu sifa kwa bwana mdogo!!!!!!
nimefanya utafiti sijagundua kitu chochote, mimi nampenda sana mdogo wangu nashindwa kumuondoa hapa nyumbani kwa kutumia hisia tu kwamba yawezekana kuna kitu kati yake na mama watoto au mama watoto ana kitu kichwani?
mahusiano yetu yako sawa tu, sijagundua kasoro, lakini sifa na maongezi muda wote kuhusu bwana mdogo sasa yanaanza kunipa ishara mbaya kichwani mwangu
naombeni maarifa sitaka kuchemka nawajali na kuwapenda wote, mmoja kama mke na mwengine kama ndugu