Kuna nini kimejificha nyuma ya hawa warembo wanaouza karanga mtaani?

Kuna nini kimejificha nyuma ya hawa warembo wanaouza karanga mtaani?

Lazima muuziwe karanga ili mpatee nguvu za kununua kule kwingine, waneona wateja wa kule wamepungua wakagundua shida ni vichupa havijai. So ni kukamata fursa mbili katika changamoto moja.
 
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze
Swali lako ndio majibu yenyewe
 
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze
Biashara ya karanga nadhani huhitaji mtaji mkubwa
 
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze
Kuna mambo matatu kama si manne ndani yako:
  1. Kuuza karanga ni kwa wanaume Tu.​
  2. Wauza karanga wawe wakibosho na Waha na wawe wachafu.​
  3. Wauza karanga wawe wachafu, wanuka kikwapa, wanaoingia choo cha jiji na kapu la karanga.​
  4. Wawe wanajifuta jasho na mkono wanaotumia kukupimia karanga.​
JIFUNZE HIVI.
  1. Wanawake wamekataa kuwa magolikipa, sasa nasi tunataka kulea familia.​
  2. Single mother kama akina Shilole, Hamisa Mabeto, Zari, Giggy Money, Christina Shushu, Blandina Chengula na wengine wakilala nani atalisha familia zao?​
 
AMANI YA BWANA IWE NANYI, MUNGU AWAPAYE WATU NEEMA NA AWAPE NEEMA.

Kuna jambo nimeliona huku mtaani siku za hivi karibuni sijawahi kulielewa kwa undani wake kuna nini kimejificha huko.

Hivi karibuni kumeibuka kundi kubwa sana la akina dada warembo ambao wanazunguka mtaani hasa majira ya Jioni wanatembeza karanga.

Kwenye mtaa mmoja unaweza kuwakuta wapo hata watano. Mtaa ambao nimewaona sana ni salasala, Mbezi Beach, goba na mbezi ya kimara(ndio nimeishi huko).

Uuzaji wao inaweza isiwe shida sana ila shida kubwa zaidi ni mavazi wanayovaa, wanavaa kama wale wahudumu wa Bara.

Swali langu lipo hapa je shida nini wameongezeka sana? ni ugumu wa maisha, au wamjitambua na kuamua kujiajiri, au kuna uhitaji mkubwa sana wa hizo karanga mtaani, au ni fursa mpya? au kuna nini cha zaidi

Mwenye majibu zaidi atujuze
Bila kapicha ni uongo tu kama Mama anayeupiga mwingi.....
 
Kuna mambo matatu kama si manne ndani yako:
  1. Kuuza karanga ni kwa wanaume Tu.
  2. Wauza karanga wawe wakibosho na Waha na wawe wachafu.
  3. Wauza karanga wawe wachafu, nuka kikwapa, wanaoingia choo cha jiji na kapu la karanga.
  4. Wawe wanajifuta jasho na mkono wanaotumia kukupimia karanga.
JIFUNZE HIVI.
  1. Wanawake wamekataa kuwa magolikipa, sasa nasi tunataka kulea familia.
  2. Single mother kama akina Hamisa Mabeto, Zari, Giggy Money, na wengine wakilala nani atalisha familia zao?
Hao uliowatolea mfano ni CERTIFIED NYAPU SUPPLIERS....
 
Back
Top Bottom